-kutembea na makaramu mengi kwenye mfuko wa shati
Umerusha mawe kwenye nyumba ya vioo, subiri kelele ktoka upande huo.-kuvaa visoksi vifupi na sendoz
-kuvaa vibukta vyenye kuacha mapaja wazi
Fashiooooooooooooooooooooooooooooooon-Kuvaa nguo za kuchanika chanika eti ndiyo swagger! Mf jeans zina matobo tobo[emoji2958]
-Kuvaa jeans za kubanaa hasa wakaka! kuvua hadi usaidiwe na watu
Bila shaka hili ni jiwe gizani😀😀 pole dear fashionista! Kuna kadada kwenye daladala kamevaa hiyo jeans haina sehemu za mapaja kabisa khaa hizi swagger bana wanawake wa mikoani tunapata tabu sana kuelewa😀Fashiooooooooooooooooooooooooooooooon
-Kuvaa nguo za kuchanika chanika eti ndiyo swagger! Mf jeans zina matobo tobo🤫
-Kuvaa jeans za kubanaa hasa wakaka! kuvua hadi usaidiwe na watu
Ohooo mi hizi navaa ila hazibani sana ila zinabana kidogo hope heshima haitoshuka😂😀Kuvaa jeans zilizobana zinazonyesha maungo hasa kwa akina dada.
Ohooo mi hizi navaa ila hazibani sana ila zinabana kidogo hope heshima haitoshuka😂😀
Kaongo unanionaga wapi huku Sumbawanga mkuu!😀Unasema kweli mimi kila mara huwa nakuona ukipita pale mtaani🤣
Kaongo unanionaga wapi huku Sumbawanga mkuu!😀
Soko gani mkuu😀😀Hapo hapo nyuma ya soko,🤣