Arusha kuna baridi mkuu hivyo utahisi hiyo baridi na ukirudishwa lazima uhisi hali Dar lazima uhisi hali ya hewa tofauti.
Hivyo unaweza usiiyone Arusha ila unacho ulicho experience na utaweza kuelezea,ni tofauti na kwamba haupo unafikiri utaeleza nini?