Oltung'anyi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 284
- 196
- Thread starter
-
- #161
"Hivi mtu aliyepoteza fahamu anaweza kuielezea hali ya kupoteza fahamu ikoje? yani wakati amepoteza fahamu kuna ambacho anaweza kukieleza ambacho kilikuwa kikiendelea wakati hana fahamu?"Hivi mtu aliyepoteza fahamu anaweza kuielezea hali ya kupoteza fahamu ikoje? yani wakati amepoteza fahamu kuna ambacho anaweza kukieleza ambacho kilikuwa kikiendelea wakati hana fahamu?
Mtu aliyesahau funguo katika kipindi chote hicho anaweza akawa anafikiri kuwa funguo anayo kumbe hana hadi pale atakapokuja kugundua kuwa kumbe hana funguo,hicho kitendo ndiyo kinaitwa kusahau.
Kiukweli, hawezi. Kwake, hakukuwa na hali yoyote ile, kimsingi hakukuwa na chochote kwake hadi atakapopata fahamu na kuelezwa hali ilivyokuwa. Sasa, hebu fikiria mtu huyu alipoteza uwepo kabisa, kwake ni kipi hasa ambacho kingekuwepo?