johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tunakumbushana tu Chagua Kiongozi Kwa kura halali Ili mwisho wa Siku Eneo la nchi Yako nzuri lipate Kiongozi mwenye KIBALI Kutoka kwa Mungu wa Mbinguni mwenyewe
Nawe unayetaka kuwaongoza Watu hawa ambao Mungu wa Mbinguni amewaumba kwa Mfano wake USIIBE KURA, kwani Kwa kuiba Kura hautakuwa KIONGOZI bali Mtawala atawalaye kwa HILA
Mbele ya Mungu wa Mbinguni HILA ni dhambi iliyo Kuu Zaidi yenye kusambaza LAANA kwa Watu Wote watawaliwao nawe
Mungu wa Mbinguni akufumbue Macho Uweze KUTAZAMA na KUONA
Ahsanteni sana 😄
Nawe unayetaka kuwaongoza Watu hawa ambao Mungu wa Mbinguni amewaumba kwa Mfano wake USIIBE KURA, kwani Kwa kuiba Kura hautakuwa KIONGOZI bali Mtawala atawalaye kwa HILA
Mbele ya Mungu wa Mbinguni HILA ni dhambi iliyo Kuu Zaidi yenye kusambaza LAANA kwa Watu Wote watawaliwao nawe
Mungu wa Mbinguni akufumbue Macho Uweze KUTAZAMA na KUONA
Ahsanteni sana 😄