Usiposhiriki ngono unakuwa umeyamudu maisha kwa asilimia 50% unabakiza kupambania 50 kirahisi

Usiposhiriki ngono unakuwa umeyamudu maisha kwa asilimia 50% unabakiza kupambania 50 kirahisi

Samico Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
486
Reaction score
1,237
Habari wapendwa!

Katika maisha kila kitu kinashortcut!
Hakunaga njia ndefu isiyokuwa na shortcut!
Mimi ni moja ya waumini wa kutafta shortcut!
Yaani mimi li unipitishe njia ndefu huwa ni lazima nichungulie hatari ya kupita shortcut kama nazimudu au la!

Ndiyo maana nina imani iko siku tutapata njia ya kuitoboa dunia kutokea upande wa pili nilishaweka uzi wa hili humu!..

Hata wakristo wanathibitisha hili katika mafundisho yao kuwa wana wa Israeli walikuwa na njia mbili kufikia mji wa ahadi,

moja ilikuwa ni shortcut fasta tu kama umbali wa Dar mpaka moro,
lakini wao walichagua njia ndeeefu yaani mfano kama kutoka Dar-mkuranga- msumbiji-south- Morocco- Ethiopia-Dodoma then Moro!

Yote kwa yote Shortcut huwa inahitaji ni uadirifu, uvumilivu na malengo bhaasi!

Tukirudi kwenye mada yetu!
  • Mapenzi yanagharimu maisha yetu vibaya sana!
  • Ngono inatupotezea marafiki wa maana sana
  • Ngono inawafunga watu jera kifikra vibaya mno
  • Ngono inauwa vipawa vya wanawake kwa wanaume wasifanye kazi kutumikia mapenzi
  • Mapenzi yanawafanya watu wasiwaheshimu wanaowabeba au kuwasaidia wakiamini fadhila ni ngono
  • Ngono zinawafanya watu watamani kumiliki vitu vikubwa hata kwa kuipa ili kuwafurahisha wapenzi
  • Mapenzi yanafundisha kutafta sifa za kijinga ili jamii kuwaringishia wengine
  • Vichaa wengi mtaani ukifuatilia chanzo cha kuchanganyikiwa kwao nyumba yake walikuwa wanapambania mapenzj hadi wakaharibu sehemu
Ukifanikiwa kujitenga mbali na ngono mapema unakuwa umeruka mapambano kwa zaidi ya asilimia 50 ya mafanikio yako!

Hizo zilizo bakia zinavumilika.

Moja ya mbinu ya kuyafikia maendeleo haraka ni kuzuia tamaa za ngono!

Hii kwangu ni bonge moja la shortcut kwa tuliochelewa kwenye malengo yetu nawashauri achaneni na ngono mapema mtakuja kunishukuru baadae!

Kwa wale ambao mshajichanganya tayali mpo kwenye ndoa zishawakwamisha kiuchumi hakuna njia nyingine bali mtazameni Yesu pale msalabani!
 
Habari wapendwa!

Katika maisha kila kitu kinashortcut!
Hakunaga njia ndefu isiyokuwa na shortcut!
Mimi ni moja ya waumini wa kutafta shortcut!
Yaani mimi li unipitishe njia ndefu huwa ni lazima nichungulie hatari ya kupita shortcut kama nazimudu au la!

Ndiyo maana nina imani iko siku tutapata njia ya kuitoboa dunia kutokea upande wa pili nilishaweka uzi wa hili humu!..

Hata wakristo wanathibitisha hili katika mafundisho yao kuwa wana wa Israeli walikuwa na njia mbili kufikia mji wa ahadi,

moja ilikuwa ni shortcut fasta tu kama umbali wa Dar mpaka moro,
lakini wao walichagua njia ndeeefu yaani mfano kama kutoka Dar-mkuranga- msumbiji-south- Morocco- Ethiopia-Dodoma then Moro!

Yote kwa yote Shortcut huwa inahitaji ni uadirifu, uvumilivu na malengo bhaasi!

Tukirudi kwenye mada yetu!
  • Mapenzi yanagharimu maisha yetu vibaya sana!
  • Ngono inatupotezea marafiki wa maana sana
  • Ngono inawafunga watu jera kifikra vibaya mno
  • Ngono inauwa vipawa vya wanawake kwa wanaume wasifanye kazi kutumikia mapenzi
  • Mapenzi yanawafanya watu wasiwaheshimu wanaowabeba au kuwasaidia wakiamini fadhila ni ngono
  • Ngono zinawafanya watu watamani kumiliki vitu vikubwa hata kwa kuipa ili kuwafurahisha wapenzi
  • Mapenzi yanafundisha kutafta sifa za kijinga ili jamii kuwaringishia wengine
  • Vichaa wengi mtaani ukifuatilia chanzo cha kuchanganyikiwa kwao nyumba yake walikuwa wanapambania mapenzj hadi wakaharibu sehemu
Ukifanikiwa kujitenga mbali na ngono mapema unakuwa umeruka mapambano kwa zaidi ya asilimia 50 ya mafanikio yako!

Hizo zilizo bakia zinavumilika.

Moja ya mbinu ya kuyafikia maendeleo haraka ni kuzuia tamaa za ngono!

Hii kwangu ni bonge moja la shortcut kwa tuliochelewa kwenye malengo yetu nawashauri achaneni na ngono mapema mtakuja kunishukuru baadae!

Kwa wale ambao mshajichanganya tayali mpo kwenye ndoa zishawakwamisha kiuchumi hakuna njia nyingine bali mtazameni Yesu pale msalabani!
Hahahahaaaaa, eti mtazameni Yesu pale msalabani.
 
Ngoja nifatilie maendeleo ya masister na mapadri then nitarudi maana hawa hawashiriki ngono
 
Habari wapendwa!

Katika maisha kila kitu kinashortcut!
Hakunaga njia ndefu isiyokuwa na shortcut!
Mimi ni moja ya waumini wa kutafta shortcut!
Yaani mimi li unipitishe njia ndefu huwa ni lazima nichungulie hatari ya kupita shortcut kama nazimudu au la!

Ndiyo maana nina imani iko siku tutapata njia ya kuitoboa dunia kutokea upande wa pili nilishaweka uzi wa hili humu!..

Hata wakristo wanathibitisha hili katika mafundisho yao kuwa wana wa Israeli walikuwa na njia mbili kufikia mji wa ahadi,

moja ilikuwa ni shortcut fasta tu kama umbali wa Dar mpaka moro,
lakini wao walichagua njia ndeeefu yaani mfano kama kutoka Dar-mkuranga- msumbiji-south- Morocco- Ethiopia-Dodoma then Moro!

Yote kwa yote Shortcut huwa inahitaji ni uadirifu, uvumilivu na malengo bhaasi!

Tukirudi kwenye mada yetu!
  • Mapenzi yanagharimu maisha yetu vibaya sana!
  • Ngono inatupotezea marafiki wa maana sana
  • Ngono inawafunga watu jera kifikra vibaya mno
  • Ngono inauwa vipawa vya wanawake kwa wanaume wasifanye kazi kutumikia mapenzi
  • Mapenzi yanawafanya watu wasiwaheshimu wanaowabeba au kuwasaidia wakiamini fadhila ni ngono
  • Ngono zinawafanya watu watamani kumiliki vitu vikubwa hata kwa kuipa ili kuwafurahisha wapenzi
  • Mapenzi yanafundisha kutafta sifa za kijinga ili jamii kuwaringishia wengine
  • Vichaa wengi mtaani ukifuatilia chanzo cha kuchanganyikiwa kwao nyumba yake walikuwa wanapambania mapenzj hadi wakaharibu sehemu
Ukifanikiwa kujitenga mbali na ngono mapema unakuwa umeruka mapambano kwa zaidi ya asilimia 50 ya mafanikio yako!

Hizo zilizo bakia zinavumilika.

Moja ya mbinu ya kuyafikia maendeleo haraka ni kuzuia tamaa za ngono!

Hii kwangu ni bonge moja la shortcut kwa tuliochelewa kwenye malengo yetu nawashauri achaneni na ngono mapema mtakuja kunishukuru baadae!

Kwa wale ambao mshajichanganya tayali mpo kwenye ndoa zishawakwamisha kiuchumi hakuna njia nyingine bali mtazameni Yesu pale msalabani!
Dawa ni kuoa mtu sahihi anayejua ndoa ni msingi wa kujenga familia pamoja hadi mwisho wa maisha. Muhimu kwenye ndoa ni kuheshimiana, kuaminiana, kusaidiana na kufarijiana.

Ngono ni sehemu ndogo ya ndoa. Unataichoka baada ya kupata watoto watatu hivi lakini muhimu vingine vyote vidumu.
 
Usiposhiriki kwa muda gani? Au unataka watu wote waache starehe zao na procreation in the name of kufanikiwa?
 
Ndio mana nikasema na afya ya akili
Afya ya akili ni neno la kistaarabu lakini mapenzi ni vichocheo! Kumwambia mtu kila siku nakupenda kila siku unarudia hilo nalo ni moja ya tatizo la akili!
Kuna haja gani kurudia neno lile kama akili iko sawa
 
Habari wapendwa!

Katika maisha kila kitu kinashortcut!
Hakunaga njia ndefu isiyokuwa na shortcut!
Mimi ni moja ya waumini wa kutafta shortcut!
Yaani mimi li unipitishe njia ndefu huwa ni lazima nichungulie hatari ya kupita shortcut kama nazimudu au la!

Ndiyo maana nina imani iko siku tutapata njia ya kuitoboa dunia kutokea upande wa pili nilishaweka uzi wa hili humu!..

Hata wakristo wanathibitisha hili katika mafundisho yao kuwa wana wa Israeli walikuwa na njia mbili kufikia mji wa ahadi,

moja ilikuwa ni shortcut fasta tu kama umbali wa Dar mpaka moro,
lakini wao walichagua njia ndeeefu yaani mfano kama kutoka Dar-mkuranga- msumbiji-south- Morocco- Ethiopia-Dodoma then Moro!

Yote kwa yote Shortcut huwa inahitaji ni uadirifu, uvumilivu na malengo bhaasi!

Tukirudi kwenye mada yetu!
  • Mapenzi yanagharimu maisha yetu vibaya sana!
  • Ngono inatupotezea marafiki wa maana sana
  • Ngono inawafunga watu jera kifikra vibaya mno
  • Ngono inauwa vipawa vya wanawake kwa wanaume wasifanye kazi kutumikia mapenzi
  • Mapenzi yanawafanya watu wasiwaheshimu wanaowabeba au kuwasaidia wakiamini fadhila ni ngono
  • Ngono zinawafanya watu watamani kumiliki vitu vikubwa hata kwa kuipa ili kuwafurahisha wapenzi
  • Mapenzi yanafundisha kutafta sifa za kijinga ili jamii kuwaringishia wengine
  • Vichaa wengi mtaani ukifuatilia chanzo cha kuchanganyikiwa kwao nyumba yake walikuwa wanapambania mapenzj hadi wakaharibu sehemu
Ukifanikiwa kujitenga mbali na ngono mapema unakuwa umeruka mapambano kwa zaidi ya asilimia 50 ya mafanikio yako!

Hizo zilizo bakia zinavumilika.

Moja ya mbinu ya kuyafikia maendeleo haraka ni kuzuia tamaa za ngono!

Hii kwangu ni bonge moja la shortcut kwa tuliochelewa kwenye malengo yetu nawashauri achaneni na ngono mapema mtakuja kunishukuru baadae!

Kwa wale ambao mshajichanganya tayali mpo kwenye ndoa zishawakwamisha kiuchumi hakuna njia nyingine bali mtazameni Yesu pale msalabani!
Huu uzi umekuja wakati sahihi kwenye maisha yangu. Shukrani sana!
 
Back
Top Bottom