Usiposikia haya hadi kufikia saa tisa mchana wa leo (4/4/2018)

Urundie avae,iki ugaya mandu ani aho?
 
Asubuhi nimeamka tu maneno 20 ya kwanza kuyasikia na ronaldo lilikuwepo. Ingawa huyu jamaa simpendi lakini anastahili heshima..
Lakini kwa messi atasubiri sana


Katika Post mbona Sijaona Pakitajwa Kitu Messi au umekusudia Kureply post ipi?
 
Lini umeanza kunipangia jinsi ya kuchangia maada humu??
Au umeona sehemu ambayo mtoa maada kasema ukichangia msimtaje messi??

Nimekuuliza Swali na Wewe Unaniuliza Swali! Kama Kawaida Sifa ya Mtanzania Wa Viwanda Kujibu Swali Kwa Swali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…