Usipothibitisha kwa mifano hai kuhusu tuhuma za utapeli kwa watumishi wa Mungu, Basi Mungu ataendelea kuwainua watumishi hao kila siku

Usipothibitisha kwa mifano hai kuhusu tuhuma za utapeli kwa watumishi wa Mungu, Basi Mungu ataendelea kuwainua watumishi hao kila siku

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Hekima ya Mungu ikuongoze kwenye comment!

Wewe kijana, mkaka, mdada, mzee, umri wa makamo na kadharika. Unapoandika au kuchangia mada yoyote juu ya unaoitwa utapeli ambao wewe unahisi watu wanafanyiwa na watumishi wa Mungu basi jaribu kuwa na kiasi.

Kama hujafanya utafiti wako binafsi na kujidhihirisha pasi na shaka kwamba kuna utapeli wa aina yoyote nakusihi ACHA KUFUATA MKUMBO wa kuwasemea vibaya watu waliopakwa mafuta ya kuwa watumishi wa Mungu.

Hii dunia bado ina siri kubwa sana tokea kuumbwa kwake hadi pumzi ambayo unaivuta leo iliyosababishwa na mapigo yako ya moyo ambayo hata wewe mwenyewe hujui ni nani aliswich on pump ya moyo wako unaokupa ujasiri wa kusema vibaya watumishi wa Mungu.

Jitathmini sana fanya meditation sana ukiwa peke yako, Hapa JF, Instagram, na majukwaa mengine ni jalala la kila sampuli ya watu kuanzia wenye weledi usio na kifani hadi machokoraa wanaolipwa kusambaza propaganda za kuchafua watu.

Hujachelewa, mrudie Mungu fanya sala ya toba, Kwa dhahebu lako nenda kasilikize neno la Mungu lisiloghoshiwa rudi nyumbani, fanya mitikasi yako over.

Hongera sana Mtume mwamposa, Endelea kuhubiri juu ya Mataifa, ukiwa unautafuta mwaka wa 30 juu ya huduma yako, Basi mimi binafsi na familia yangu tunakuombea ufike zaidi ya miaka 50 ya kueneza injili na kuwafungua watu popote pale kwenye sayari hii ya Dunia.

Nawasilisha.
 
Baadhi ya mambo muhimu ambayo Bibilia inasema ni haya:
  • Wengi watatokea: Yesu alionya kwamba katika siku za mwisho, wengi watajitokeza wakidai kuwa ni Kristo au manabii wa uongo (Mathayo 24:24).
  • Watatenda miujiza: Manabii hawa wa uongo wataonyesha ishara kubwa na maajabu ili kuwadanganya watu wengi (Mathayo 24:24).
  • Watatumia majina ya Yesu: Watajifanya kuwa watumishi wa Kristo, lakini matendo yao hayatendwi kwa nguvu za Roho Mtakatifu (Mathayo 7:22-23).
  • Tujaribu roho zote: Yohana Mtume anatukumbusha kuwa tusidanganywe na kila roho, bali tuzijaribu ili tujue kama zinatoka kwa Mungu (1 Yohana 4:1).
  • Tutumie Maandiko: Neno la Mungu ndilo kiwango cha kweli. Tunapaswa kujifunza Biblia ili tuweze kutofautisha kati ya mafundisho ya kweli na ya uongo (2 Timotheo 3:16).
Jinsi ya kutambua nabii au mtume wa uongo:
  • Matunda yao yatatambulika: Mti mzuri huza matunda mazuri. Vilevile, mtu wa Mungu ataonyesha matunda ya Roho Mtakatifu katika maisha yake (Galatia 5:22-23).
  • Maisha yao yatakuwa safi: Watu wa Mungu watakuwa na maisha matakatifu na watakuwa mfano kwa wengine (1 Petro 2:15).
  • Watafundisha Biblia: Watafundisha Biblia kwa usafi na kwa mamlaka ya Roho Mtakatifu.
  • Hawatafuta faida binafsi: Hawatafuta utajiri au umaarufu bali watakuwa watumishi wa watu wa Mungu.
 
Hekima ya Mungu ikuongoze kwenye comment!

Wewe kijana, mkaka, mdada, mzee, umri wa makamo na kadharika. Unapoandika au kuchangia mada yoyote juu ya unaoitwa utapeli ambao wewe unahisi watu wanafanyiwa na watumishi wa Mungu basi jaribu kuwa na kiasi.

Kama hujafanya utafiti wako binafsi na kujidhihirisha pasi na shaka kwamba kuna utapeli wa aina yoyote nakusihi ACHA KUFUATA MKUMBO wa kuwasemea vibaya watu waliopakwa mafuta ya kuwa watumishi wa Mungu.

Hii dunia bado ina siri kubwa sana tokea kuumbwa kwake hadi pumzi ambayo unaivuta leo iliyosababishwa na mapigo yako ya moyo ambayo hata wewe mwenyewe hujui ni nani aliswich on pump ya moyo wako unaokupa ujasiri wa kusema vibaya watumishi wa Mungu.

Jitathmini sana fanya meditation sana ukiwa peke yako, Hapa JF, Instagram, na majukwaa mengine ni jalala la kila sampuli ya watu kuanzia wenye weledi usio na kifani hadi machokoraa wanaolipwa kusambaza propaganda za kuchafua watu.

Hujachelewa, mrudie Mungu fanya sala ya toba, Kwa dhahebu lako nenda kasilikize neno la Mungu lisiloghoshiwa rudi nyumbani, fanya mitikasi yako over.

Hongera sana Mtume mwamposa, Endelea kuhubiri juu ya Mataifa, ukiwa unautafuta mwaka wa 30 juu ya huduma yako, Basi mimi binafsi na familia yangu tunakuombea ufike zaidi ya miaka 50 ya kueneza injili na kuwafungua watu popote pale kwenye sayari hii ya Dunia.

Nawasilisha.
Vina muda basi, mlikaza mafuvu kwa kiboko ya wachawi mkaumbuka, endeleeni tu kukaza mafuvu tupo paleee🌚🌚
 
Sie wengine tumekatazwa kuwanyooshea kidole watumishi wa Mungu. Ila tumepewa uwezo wa kupambambanua roho, roho ipi ni ya Mungu na ipi ni ya ibilisi. Kuhusu hawa mananabii hukumu yao itaanzia nyumbani mwa Mungu, na tayari inajulikana ni wa ukweli au uongo
 
Mtume au nabii sijui kuhani anaeongoza anachokiita ibada ila toka ibada yenyewe inaanza mpaka inaisha hawakumbushi waamini wanaomsikiliza umuhimu wa kujitengeneza nafsi,kuacha dhambi,kusaidia wahitaji etc lakini yeye anachong'ang'ana kufundisha ni watu kupata utajiri na waume wa kuwaoa huyo hawezi kuwa mtumishi wa Mungu.

Kazi hasa ya watumishi ilibidi iwe kutukumbusha kuacha maovu,kuacha dhambi hakuna hela inayopatikana kwa kuombewa hela inatafutwa kwa kuitafuta sasa kazi ya huyu anayeitwa kuhani inabidi iwe kumuonya huyu mtafutaji aitafute kwa utaratibu aitumie kwa utaratibu kwa ajili ya kesho yako ahera sasa unaniombea nikapate hela lakini hunikatazi yanayonitenga na Mungu utumishi huo ni utumishi gani?
 
Picha linaanza pale mfuasi wa hao manabii na mitume anaitwa KONDOO, sasa kama mtu mzima na akili zake amekubali kuitwa/kujiita kondoo unadhani kuna kitu atakuelewa??! Ni dhahiri humo kichwani pamejaa viumbe hai aina ya funza
 
Hekima ya Mungu ikuongoze kwenye comment!

Wewe kijana, mkaka, mdada, mzee, umri wa makamo na kadharika. Unapoandika au kuchangia mada yoyote juu ya unaoitwa utapeli ambao wewe unahisi watu wanafanyiwa na watumishi wa Mungu basi jaribu kuwa na kiasi.

Kama hujafanya utafiti wako binafsi na kujidhihirisha pasi na shaka kwamba kuna utapeli wa aina yoyote nakusihi ACHA KUFUATA MKUMBO wa kuwasemea vibaya watu waliopakwa mafuta ya kuwa watumishi wa Mungu.

Hii dunia bado ina siri kubwa sana tokea kuumbwa kwake hadi pumzi ambayo unaivuta leo iliyosababishwa na mapigo yako ya moyo ambayo hata wewe mwenyewe hujui ni nani aliswich on pump ya moyo wako unaokupa ujasiri wa kusema vibaya watumishi wa Mungu.

Jitathmini sana fanya meditation sana ukiwa peke yako, Hapa JF, Instagram, na majukwaa mengine ni jalala la kila sampuli ya watu kuanzia wenye weledi usio na kifani hadi machokoraa wanaolipwa kusambaza propaganda za kuchafua watu.

Hujachelewa, mrudie Mungu fanya sala ya toba, Kwa dhahebu lako nenda kasilikize neno la Mungu lisiloghoshiwa rudi nyumbani, fanya mitikasi yako over.

Hongera sana Mtume mwamposa, Endelea kuhubiri juu ya Mataifa, ukiwa unautafuta mwaka wa 30 juu ya huduma yako, Basi mimi binafsi na familia yangu tunakuombea ufike zaidi ya miaka 50 ya kueneza injili na kuwafungua watu popote pale kwenye sayari hii ya Dunia.

Nawasilisha.
Uthibitisho huu hapa
 
Back
Top Bottom