Usiri huu ni kwa faida ya nani?

Usiri huu ni kwa faida ya nani?

Rweye

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,057
Reaction score
7,611
Jana nimemwona waziri fulani kwenye tv anaongea kuhusu kisukari na hari inavyozidi kuwa mbaya ukizingatia na gharama ya matibabu lakini kidogo wakati anataka kuongea juu ya sababu ghafla akasita akazuga anaongelea idadi ya wagonjwa,tena baadae nikaona ile ya saratani ya shingo ya kizazi wakaoneshwa wanawake wengi wanavyoitikia kwenda kupima pale Tabora,nikajiuliza moyoni,inakuwaje wanahamasishwa kuchukua vipimo na matibabu na si kuelezwa ni kwa jinsi gani hasa ama ni kwanini mpaka maradhi haya yanawapata akina mama?

Nikaunganisha yote mawili nikaona bora niulize,serikali na wauguzi mmeona ni bora tiba kuliko kinga? inakuweje hamkazii sana elimu ya kujikinga na haya magonjwa badala yake mnapromote zaidi matibabu,hii si tiba kuliko kukinga?
 
Serikali sikivu nina imani imekusikia. Message delivered
 
Serikali sikivu nina imani imekusikia. Message delivered

yaani kweli kabisa mkuu,hawana wasiwasi wanasema ni gharama kubwa kumhudumia mgonjwa wa kisukari kias kwa mwezi ni 4m hivi,sasa kama tiba ni ya ghari hivi kwanini tunaacha njia rahisi tu ya kuwaelimisha wananchi vyanzo hasa vya maradhi hayo kitu ambacho ni gharama ndogo kabisa,kuliko kila wakati mnaonesha matangazo yasiyokuwa ya maana sana saidieni kutengeneza kwenye tv na radio ili wananchi wafahamu
 
jamani jana nimemwona waziri fulani kwenye tv anaongea kuhusu kisukari na hari inavyozidi kuwa mbaya ukizingatia na gharama ya matibabu lakini kidogo wakati anataka kuongea juu ya sababu ghafla akasita akazuga anaongelea idadi ya wagonjwa ...tena baadae nikaona ile ya saratani ya shingo ya kizazi wakaoneshwa wanawake wengi wanavyoitikia kwenda kupima pale Tabora,nikajiuliza moyoni,inakuwaje wanahamasishwa kuchukua vipimo na matibabu na si kuelezwa ni kwa jinsi gani hasa ama ni kwanini mpaka maradhi haya yanawapata akina mama? nikaunganisha yote mawili nikaona bora niulize,serikali na wauguzi mmeona ni bora tiba kuliko kinga? inakuweje hamkazii sana elimu ya kujikinga na haya magonjwa badala yake mnapromote zaidi matibabu,hii si tiba kuliko kukinga?
watu bwana wewe mtu ameonekana kwenye TV bado hutamki jina eti unasema waziri flan duuuuuu ebwana kali ya mwaka,ama na kwenye TV walimuita waziri flan nini
 
watu bwana wewe mtu ameonekana kwenye TV bado hutamki jina eti unasema waziri flan duuuuuu ebwana kali ya mwaka,ama na kwenye TV walimuita waziri flan nini

kilaza wewe,jitahidi kutafuta main idea ama central idea katika mambo mbalimbali,kwahyo unataka tuache kujadili ishu badala yake tuanze kuongelea majina ya watu? kwa mfano ukilijua jina lake ndo hoja itakuwa imepata majibu ama ndo maana yake nini
 
wanapenda nchi ionekane salama hakuna magonjwa magonjwa
 
kilaza wewe,jitahidi kutafuta main idea ama central idea katika mambo mbalimbali,kwahyo unataka tuache kujadili ishu badala yake tuanze kuongelea majina ya watu? kwa mfano ukilijua jina lake ndo hoja itakuwa imepata majibu ama ndo maana yake nini
Hahahaha nyie ndio wale mnaosoma vyuo vya kata sasa mkiguswa mnajifanya wasomi wa hali yajuu.Hivi kweli wewe genius wa magenius unashindwa kuelewa kuwa ukisema waziri Mhongo hapo hapo watu watakuambia kuwa achana nae yule amejaa sifa.Kwa hiyo moja kwa moja utajua kuwa alichokuwa anasema hakikuwa kinatoka moyoni.By the way wewe umemuona waziri kwenye TV ina maana Watanzania wote wenye access na TV walimuona sasa wewe inakuaje unakuja na habari za waziri flan?Hapa watu hawajadili umbea wanajadili kitu na box so kwa kuwa ulikuwa hujajipanga ungeeacha kuleta habari nusu nusu
 
Back
Top Bottom