Usiri katika ajira za walimu mpaka lini???

Mchoropa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
402
Reaction score
304
Kadri siku zinavyozidi kwenda ndyo hali inazidi kuwa tete, hakuna mwenye taarifa rasmi kuhusu ajira mpya za walimu kwa TAIFA ambalo lina upungufu mkubwa wa walimu na mipango kadha wa kadha ambayo msingi wake mkuu hutegemea walimu! Kuna kitu gan kinachopelekea usiri huu??? ni vyema kuweka wazi km serikali imeshndwa kutoa ajira ili walimu wapate fursa ya kufanya business nyngne! kw mbali naanza kufikiria pengne hii ndio maana ya BIG RESULTS NOW (BRN)! Polen xana walimu, hii ndiyo TANZANIA@
 
Tunashukuru mkuu! Wangetoa tamko rasmi kuwa hakuna ajira mwaka huu,ili tutafute plan B. Ikipita wiki hii naenda kusaini mkataba private miaka 5! nimechoka kusubiri.
 
Makuku Rey! wengi tumeshachoka na hakuna hata dalili ya kutukumbuka, akili kichwani wengne familia znatutegemea!
 
Last edited by a moderator:
Kwel wangesema 2 na tukajua tatzo ni nin kukaa kmya na kuanza kuhisi kua tatizo litakua ni kitu fulani sio vzur hasa kwa watu wasomi ni vyema kuweka umma wazi watu wakawaza jambo lngne
 
stellah kessy! serikali haioni umuhimu wetu dat'z y wanatufanyia hivi, ni aibu tupu mtaani, walimu tunavyodharaulika@
 
Last edited by a moderator:

Hili ndio game linavyo kwenda, kipaumbele chetu hivi sasa ni katiba ya nchi (siasa) ndio maana bunge la katiba limeanza kipindi ambacho kwa kawaida huwa ni muda kuajiri walimu, kwa hiyo macho ya wengi yapo kwenye bunge la katiba, je unadhani ni nani mwenye uwezo wa kuiuliza serikali juu ya ajira wakati tumesha pumbazwa na bunge la katiba?

"SIASA KWANZA ELIMU BAADAE"
 
Inamaana hawa wanaohusika kurelease hizo ajira hawasikii?hizi taarifa hawazipati?viongozi wajibikeni au mnataka hadi tukaripoti kwa Rais?
 
Walimu tunazidi soteshwa mitaani huku watu wengne wakipokea posho ya 300,000 kw cku! hvi serikali huwa inafkiria nn??? huu n upuuz uliopindukia@
 
daah kweli ila serikali haifanyi poa.kwan mwaka jana muda ka huu yalikuwa tayari xaxa cjui wana nini.?wanatesa watu ajila wanachelewesha kuajiliwa kwenye mazingira magumu.
 
bunge la katiba ni upuuzi mtupu wakati walimu wenye direct impacts to the societies wanasota, wanaangaika na makaratas(maandiko) ambayo kiongozi akiamua kutoyafuata hakuna anaehoji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…