Je ni vizuri kua na usiri katika mambo unayofanya kwa mwenza/mke/mume/mchumba?Mambo hayo yanaweza kua ya
kifedha,kikazi,kimampenzi ama ni sawa kua wazi kwa kila jambo unalofanya ama unalofikiria?Manake kibongo
bongo kudanganyana ndo mpango mzima,,,,Kwa mfano mimi napenda saaaaana ukweli,sipendi kudanganywa
hasa na mtu ninaempenda,ila mtu akinidanganya naona ndo hanipendi,,wht do u thnk guys uongo ndo unaodumisha
mahusiano????????
kifedha,kikazi,kimampenzi ama ni sawa kua wazi kwa kila jambo unalofanya ama unalofikiria?Manake kibongo
bongo kudanganyana ndo mpango mzima,,,,Kwa mfano mimi napenda saaaaana ukweli,sipendi kudanganywa
hasa na mtu ninaempenda,ila mtu akinidanganya naona ndo hanipendi,,wht do u thnk guys uongo ndo unaodumisha
mahusiano????????