Usiri kwenye mahusiano..

Usiri kwenye mahusiano..

lila

Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
38
Reaction score
5
Je ni vizuri kua na usiri katika mambo unayofanya kwa mwenza/mke/mume/mchumba?Mambo hayo yanaweza kua ya

kifedha,kikazi,kimampenzi ama ni sawa kua wazi kwa kila jambo unalofanya ama unalofikiria?Manake kibongo

bongo kudanganyana ndo mpango mzima,,,,Kwa mfano mimi napenda saaaaana ukweli,sipendi kudanganywa

hasa na mtu ninaempenda,ila mtu akinidanganya naona ndo hanipendi,,wht do u thnk guys uongo ndo unaodumisha

mahusiano????????
 
Mpango mzima ni kudanganya mwanzo mwisho.

 
Last edited by a moderator:
Siri na uongo ni vitu viwili tofauti, katika mahusiano ni bora kuwa msiri sana hasa upande wa uchumi, lakini usiwe muongo. Mahusiano yanapovunjika hasa kwa ugomvi au kinyongo, wanawake siku zote hufanya kila njia kujaribu kuharibu maisha ya Ex wake, sasa kama ulikuwa umempa siri zako atakumaliza kirahisi.
 
kuna baadhi ya vitu sio vya share e.g atm #, my JF password, jeneza, how much toilet paper u use per session etc. hii ni natural sio mambo ya usiri/uongo, naona wewe unataka mwenzio akupe data ambazo ni 'too personal' na hii sio healthy kwenye mahusiano
 
siku zote ukweli humuweka mtu huru ninapenda sana kuambiwa ukweli hata kama unauma kiasi gani kuliko kudanganywa kwa sababu,hakuna kitu nisichopenda kama kudharauliwa na mara zote mtu anayenidanganya huwa ninamuweka katika kundi la watu wanaonidharau cwezi kuendana naye.
Usiri for wat?..
hata mambo yangu ya kiuchumi mpenzi wangu ninamshirikisha sababu yy ndy budget planner mimi consultant!....
 
ah wee kuwa muwazi tuu ata atm number mpe, mshahara wako ajue unapata shillingi ngapi yaani watu wanachoshindwa kuelewa ni kuwa wewe unapo kuwa muwazi na maisha na miendeo yako ni vigumu sana mtu msiri na muwongo kukukaribia kwa sababu yeye kugundulika ni rahisi sana
 
A woman's heart is like a deep ocean full of secrets they r always complicated
 
Back
Top Bottom