Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #481
Naam
Mkuu naomba nukuu ya mstari kwenye Biblia unaozungumzia hilo la Yesu kuwakumbusha.husikii alivyowaambia kesho yake, aliwaambia mmekuja leo tena kwa sababu ya chakula na sio neno la Mungu, yaani jana kwa vile walipewa samaki na mkate ndio maana siku iliyofuata wakaongezeka maradufu.
Yohana 6:26Mkuu naomba nukuu ya mstari kwenye Biblia unaozungumzia hilo la Yesu kuwakumbusha.
Infact andiko lako lina ukweli Mwingi japo ni Mchungu kuupokea kwa walio wengi.
BUT Kila Masikini aliyesoma andiko hili ataelewa UKWELI wake kipindi atapokuwa anatoka kwenye Umasikini kuelea kuwa TAJIRI(Kufanikiwa). Otherwise kwa wale wataobakia Masikini basi hawataelewa KAMWE ulichoandika.
Mtu yoyote akianza kutoka kwenye Umasikini na kuelekea Utajiri, ndio wakati hugundua kuwa MASIKINI sio watu wazuri, maana ndio huwa watu wa mwanzo kumletea miyeyusho, Majungu, kutaka kumshusha, kumletea visa, uzushi(kumuita mchawi), wanajivisha haki ya kusaidiwa, wanakuombea ushuke uwe masikini, usipowasaidia wanaamini ipo siku na wao watakuwa matajiri halafu wewe utakuwa masikini n.k.
Aisee haya mambo uliyoandika yana ukweli Ila mbona katika biblia tumeambiwa tuwasaidie masikiniNaam
Aisee haya mambo uliyoandika yana ukweli Ila mbona katika biblia tumeambiwa tuwasaidie masikini
Dunia ina falsafa nyingi chagua uonayo sahihi kwako ukizifata zote utatoka nje ya reliAisee haya mambo uliyoandika yana ukweli Ila mbona katika biblia tumeambiwa tuwasaidie masikini
Laana ni ishu za imani lakini kwenye falsafa zingine mfano sayansi ya akili, umasikini ni ishu ya subconscious mind tu.Na subconscious mind haina rangi,jinsia,taifa,dini nk kwa maana
Mungu ametoa freewill kwa wote amewapa wanadamu wote equal chance za kufanikiwa
True kabisaWanadamu wote ukimaanisha Tupo Sawa?
Mtibeli , Baba kimosso CEO wa Ta ik on star Ltd huwa analeta hoja tatanishiDunia ina falsafa nyingi chagua uonayo sahihi kwako ukizifata zote utatoka nje ya reli
Ana chokoza mada,Mtibeli , Baba kimosso CEO wa Ta ik on star Ltd huwa analeta hoja tatanishi
Laana ni ishu za imani lakini kwenye falsafa zingine mfano sayansi ya akili, umasikini ni ishu ya subconscious mind tu.Na subconscious mind haina rangi,jinsia,taifa,dini nk kwa maana
Mungu ametoa freewill kwa wote amewapa wanadamu wote equal chance za kufanikiwa
oa tu ila tambua na masikini hapendi kuolewa na masikini mwenzake,hiyo hadithi ya lazaro unauhakika ni yakweli au kubumba,mbona wakoloni licha ya kutunyonya na kutufanyia kila aina ya unyanyasaji lakini wanazidi kunemeka?mzee umetudanganya.yule lazaro alikuwa anakula makombo mlangoni kwa tajiri mmoja lakini mwisho wa siku Lazaro alienda mbinguni na tajiri motoni.mimi kwenye kuoa masikini naoa tuuu