Kweli kabisa Mkuu ...Maana Mimi nikijiangalia huo untajiri Wala Sina..lakini sijioni Kama nina laana.JF kuna waigizaji we acha tu, hapa kila mtu atakuwa tajiri, sawa na mada iwageukie kuwasifia waliosoma elimu dunia basi utashangaa kila mtu atayeandika ujumbe humu ataishia kujinadi ni msomi tu hahaaaa....
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Laana ni maigizo tupu, inamaana kwanini hao maskini waliumbwa pa1 na matajiri na kuwekwa kwao hapa duniani ikiwa wao hawana laana, si wangeishi ktk sayari yao pekeyao basi kuepuka huo ushetani?Kweli kabisa Mkuu ...Maana Mimi nikijiangalia huo untajiri Wala Sina..lakini sijioni Kama nina laana.
Exactly π―Wewe ndio umeongea kile ambacho kilikuwa kichwani mwangu kwa wepesi zaidi.
Mtu mwenye rich spirit hata kama hana anakuwa hana tatizo na mtu. Na akiwa nacho ndio kabisaa yani wote mtafurahi. Wako positive mda wote!
Ila wenye roho ya kimaskini ndio wanakuwaga na attitude ya kilimbukeni tu. Hawa ndio wale anawaza apate ili awakomeshe akina flani..Ata strive kupata recognition akipata nafasi na sio kwa nia ya kusaidia kuwainua walio karibu nae bali kuwa oppress ili awe ni mtu wa kutukuzwa, ili akusaidie ni lazma umsujudie na msaada unaambatana na matangazo.Husda na choyo ndio vimeijaza mioyo ya hawa watu.
So kwangu tafsiri ya umaskini ina stem kwenye roho ya mtu. Haijalishi una hela au hauna ila umaskini upo rohoni. Binafsi naweza kuwa sina kitu ila siji count kama maskini sababu najua i have a rich heart na nikiwa nacho im good at giving a hand to others sibaguagi watu.
Yatima sio maskinibila kukupesa watu masikini wakutupwa wakipewa nafasi huwa wanafanya maajabu makubwa sana katika taasisi na nyanja mbalimbali, hata mashuleni fuatilia vizuri utaona mayatima wanavyoperform vizuri sana na wana nidhamu ya juu sana....
Naona umefananisha umasikini na ushamba kwasababu ukimsomesha mtu mshamba na akajanjaruka, ataanza kweli kuwa na tabia za ajabu, lakini ukimsomesha masikini atakulipa fadhira na ataweka mazingira yawewe kuendelea kumuamini....
Nimejibu kwa kuzingatia muktadha wa mada, ila najua unaweza kuwa umemaanisha vitu vingine kabisa kama fasihi inavyokupa uwanda mpana......
Mkuu unasema yeye anaonekana,umeshawahi kumuona?inawezekana kabisa huyu akawa ni shetani kwani hatujuani humu,tunatambulika kwa hiden identity...Tofauti yako mtoa mada na shetani ni vile wewe unaonekana na mwenzio haonekani lakini mna roho linganifu,haiwezekani tusisaidie maskini maana vitabu vya Mungu vinasisitiza upendo na kuwasaidia wenye shida.
Kwani hukumu ya motoni na peponi tayari?? Yani hapa tulipo kuna watu tayari wapo peponi wengine motoni ,sio kwamba mpaka mwisho wa dunia yesu atakaporudi ndio atakuja kuhukumu??mzee umetudanganya.yule lazaro alikuwa anakula makombo mlangoni kwa tajiri mmoja lakini mwisho wa siku Lazaro alienda mbinguni na tajiri motoni.mimi kwenye kuoa masikini naoa tuuu
Usijifananishe na famailia ya yesu,wale walikua wakishua,we ushawahi kuona wapi masikini anakimbia nje ya nchi,yesu alikimbilia misri alikuwa anatafutwa na herode,unadhani gharama za kwenda kuishi ughaibuni kwa masikini ni rahisi??Wewe una roho ya korosho kama Magufuli, reference ya maafa ya Kagera na njaa ya Geita.
Yesu alizaliwa ktk mazingira duni na kuishi ktk maisha duni. Alikaribishwa nyumbani kwa Mfarisayo kwa ajili ya kalamu (chakula). Inamaana Mfarisayo alimkaribisha shetani?
"Mtu mmoja katika Mafarisayo alimwalika ale chakula kwake; akaingia katika nyumba yake yule Farisayo, akaketi chakulani."
Luka 7:36
πππ Aisee inawezekana ni shetani mwenyewe kaposti uzi,asante kwa kunishtua.Mkuu unasema yeye anaonekana,umeshawahi kumuona?inawezekana kabisa huyu akawa ni shetani kwani hatujuani humu,tunatambulika kwa hiden identity...
Mh!!!! Wakishua wakati walikua wanatumia punda, farasi na miguu kwa ajili ya kuhama kutoka eneo moja kwenda lingine.Usijifananishe na famailia ya yesu,wale walikua wakishua,we ushawahi kuona wapi masikini anakimbia nje ya nchi,yesu alikimbilia misri alikuwa anatafutwa na herode,unadhani gharama za kwenda kuishi ughaibuni kwa masikini ni rahisi??
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app