Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Mchana wa leo nimefungulia Radio moja ya dini ili nipate kula neno kwa kuwa nilikuwa sijala chochote kitu kabisa kutokana na hali ngumu ya kimaisha
Ghafla nikaskia," fulani bin fulani aliahidi laki tano siku ya jana usiku, leo ametoa laki tano
Kiitikio: Alowanishwe kwa damu ya Yesu".
Sijakaa sawa nikasikia," Genta bin Mycine aliahidi 200k, ametoa 900k".
Ile napiga mwayo mnene, nikasikia,"Equation x ametoa 1m
Kiitikio: Baba, baba uyo! Baba, baba uyooo Baba".
Usiseme hali ni ngumu, sema hali yangu ni ngumu.
Hivi hizo pesa huwa mnaziokotea wapi?
Ghafla nikaskia," fulani bin fulani aliahidi laki tano siku ya jana usiku, leo ametoa laki tano
Kiitikio: Alowanishwe kwa damu ya Yesu".
Sijakaa sawa nikasikia," Genta bin Mycine aliahidi 200k, ametoa 900k".
Ile napiga mwayo mnene, nikasikia,"Equation x ametoa 1m
Kiitikio: Baba, baba uyo! Baba, baba uyooo Baba".
Usiseme hali ni ngumu, sema hali yangu ni ngumu.
Hivi hizo pesa huwa mnaziokotea wapi?