STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Umemuonyesha Unampenda,umesota weee kumtoa
Lunch na Dinner lakini wapi..Meseji anajibu
akijisikia....Ukimwambia I miss you anajibu
"K"...Ukipiga Simu hapokei na akipokea anaongea
kama Mtu anayejiandaa kufumaniwa na mke wa
Mwanajeshi ili ukate simu...Kwa kifupi anakuringia waziwazi...Baada ya kuona hutakiwi ukapunguza
Mawasiliano,ukaona isiwe tabu..Mwanamke hayuko
peke yake..Uve shown her enough Love but she has
taken you for granted...MARA GHAFLA baada ya miezi
2 umempotezea anaanza yeye sasa...Meseji..
Simu...Appointments..Usipomjibu analalamika...Y uleyule aliyekuwa anakujibu kwa kiburi ONGEA
FASTA NNA KAZI..
Ukiona Demu anarudi na Mapenzi ya Spidi hivi kama
Intaneti ya SMILE baada ya kukukataa na kuleta pozi
zamani KUNA MAWILI:
1.Huko alikokuwa anakuringia AMETOSWA sasa amekumbuka kuna fala wake ulikuwa UMEOZA
Kwake anakucheki kama BACK UP
2.Kodi yake imeisha sasa anajiandaa kujilengesha
kwako,Ukipiga tuuu utasikia "BABE KODI YANGU
IMEISHA na mwenye nyumba mkali kweli,if you really
love me please help"....Kodi Sh ngapi?...Milioni 3...Bora nimnunulie babangu VITZ aniwekee mikono ya
baraka!
Lunch na Dinner lakini wapi..Meseji anajibu
akijisikia....Ukimwambia I miss you anajibu
"K"...Ukipiga Simu hapokei na akipokea anaongea
kama Mtu anayejiandaa kufumaniwa na mke wa
Mwanajeshi ili ukate simu...Kwa kifupi anakuringia waziwazi...Baada ya kuona hutakiwi ukapunguza
Mawasiliano,ukaona isiwe tabu..Mwanamke hayuko
peke yake..Uve shown her enough Love but she has
taken you for granted...MARA GHAFLA baada ya miezi
2 umempotezea anaanza yeye sasa...Meseji..
Simu...Appointments..Usipomjibu analalamika...Y uleyule aliyekuwa anakujibu kwa kiburi ONGEA
FASTA NNA KAZI..
Ukiona Demu anarudi na Mapenzi ya Spidi hivi kama
Intaneti ya SMILE baada ya kukukataa na kuleta pozi
zamani KUNA MAWILI:
1.Huko alikokuwa anakuringia AMETOSWA sasa amekumbuka kuna fala wake ulikuwa UMEOZA
Kwake anakucheki kama BACK UP
2.Kodi yake imeisha sasa anajiandaa kujilengesha
kwako,Ukipiga tuuu utasikia "BABE KODI YANGU
IMEISHA na mwenye nyumba mkali kweli,if you really
love me please help"....Kodi Sh ngapi?...Milioni 3...Bora nimnunulie babangu VITZ aniwekee mikono ya
baraka!