chaUkucha
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,382
- 1,214
Haya maneno yanatamkwa sana na watoto wa mjini siku hizi.
Zamani ilikuwa ukimuona wakuja anashangaa shangaa wenyeji au wazawa walikuwa wanasema acha kushangaa wewe mbwiga kashangae feri shilingi inazama lakini meli haizami.
Siku hizi mambo yamebadilika sio feri tena kwenye maajabu!
Maajabu yapo kwa mpalange
Acha kushangaa shangaa wewe Dada/kaka kashangae kwa mpalange!
Kwa mpalange ndo wapii? Kuna maajabu gani huko tuje tushangae bila wenyeji kutushangaa!?
Zamani ilikuwa ukimuona wakuja anashangaa shangaa wenyeji au wazawa walikuwa wanasema acha kushangaa wewe mbwiga kashangae feri shilingi inazama lakini meli haizami.
Siku hizi mambo yamebadilika sio feri tena kwenye maajabu!
Maajabu yapo kwa mpalange
Acha kushangaa shangaa wewe Dada/kaka kashangae kwa mpalange!
Kwa mpalange ndo wapii? Kuna maajabu gani huko tuje tushangae bila wenyeji kutushangaa!?