kihuba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 264
- 265
Ndugu yangu tofauti kubwa kati ya mtu aliyefanikiwa na wengine sio *Elimu* wala *kipaji*,
bali ni kushindwa *kuthubutu*.
We endelea kukimbiza mbawa zako kama *kunguru mwoga*
♂endelea kuogopa *risk* [emoji144][emoji144]♀
♂ endelea kutafuta kazi zenye *security[emoji61]*
♂ endelea kuilaumu *serikali* kwa ugumu wa maisha yako,
♂endelea kusubiri kupandishwa *cheo* na kuongezewa *mshahara (increment)*[emoji161]
♂ endelea kuficha pesa zako kwenye *kibubu* badala ya ku *invest*, [emoji383]
♂ endelea kuwa na msimamo *hasi (negative mind set)* juu ya biashara ya *mtandao*[emoji68][emoji335][emoji67][emoji335][emoji335][emoji390]
♂endelea kuleft kwenye ma group ya *fursa* mbalimbali, *uwekezaji* na *ujasiria mali*, [emoji125]♀
♂endelea kujoin kwenye ma group ya *udaku* na ku *like* habari za *umbea* face book na Instagram[emoji736]
♂endelea tu kusoma vitabu vya hadithi za malavidavi[emoji173][emoji180] na udaku badala ya kusoma vitabu vya ujasiriamali na uchumi[emoji385][emoji383]
♂ endelea kusikiliza[emoji101] ushauri wa watu *wanao kuvunja moyo*[emoji174] na *kukukatisha tamaa*[emoji17],
♂endelea kupuuzia ushauri wa watu wanaokutakia *mafanikio* na kukupa new *ideas*[emoji123]
[emoji16][emoji16]
bali ni kushindwa *kuthubutu*.
We endelea kukimbiza mbawa zako kama *kunguru mwoga*
♂endelea kuogopa *risk* [emoji144][emoji144]♀
♂ endelea kutafuta kazi zenye *security[emoji61]*
♂ endelea kuilaumu *serikali* kwa ugumu wa maisha yako,
♂endelea kusubiri kupandishwa *cheo* na kuongezewa *mshahara (increment)*[emoji161]
♂ endelea kuficha pesa zako kwenye *kibubu* badala ya ku *invest*, [emoji383]
♂ endelea kuwa na msimamo *hasi (negative mind set)* juu ya biashara ya *mtandao*[emoji68][emoji335][emoji67][emoji335][emoji335][emoji390]
♂endelea kuleft kwenye ma group ya *fursa* mbalimbali, *uwekezaji* na *ujasiria mali*, [emoji125]♀
♂endelea kujoin kwenye ma group ya *udaku* na ku *like* habari za *umbea* face book na Instagram[emoji736]
♂endelea tu kusoma vitabu vya hadithi za malavidavi[emoji173][emoji180] na udaku badala ya kusoma vitabu vya ujasiriamali na uchumi[emoji385][emoji383]
♂ endelea kusikiliza[emoji101] ushauri wa watu *wanao kuvunja moyo*[emoji174] na *kukukatisha tamaa*[emoji17],
♂endelea kupuuzia ushauri wa watu wanaokutakia *mafanikio* na kukupa new *ideas*[emoji123]
[emoji16][emoji16]