Ukipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
Kwahiyo wewe hujaanza unasubiri hali itengamae?Kununua gari la kutembelea sikushauri ila kwa hali ilivyo wakati huu ukipata kahela kamawazo ndugu yangu JENGA TU hata utabaki ukitazama mjengo wako hapo nyumbani kuliko kuwaita TRA karibu na wewe, utajikuta 60% ya mtaji imekwenda hazina kama kodi kupitia TRA upepo bado sio mzuri kwa wanaoanza bishara hali ni tete bado.
sina hakika ikiwa umri unaweza kukusaidia ktk hili anyway I'm 40'sKwahiyo wewe hujaanza unasubiri hali itengamae?
Una umri gani?,
USIKARIRI.Ukipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa ununue gari ya kutembelea na huna chanzo kingine cha kukupa pesa ya mafuta. UTAFELI..ile MBAYA.
You've hit the point!Kila mtu na kipaumbele chake jamani.
Naelekea kwa mangi usiniweke sana.You've hit the point!
Kaagize Savana kwa Mangi nakuja kulipa.
Ukifika hakikisha siti ya pembeni yako haina mtu.Naelekea kwa mangi usiniweke sana.