Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu


[emoji16][emoji16]
 

Huyo jamaa ni noma[emoji16]
 
Shida ya kulala vikaoni ukitoka hakuna ulichosikia
 
Hapo aombe asikutwe na matatizo akahitaji msaada
 
Dhumuni la waraka huu ni kuhusu hapo nilipopakoleza;
Naona kama fursa hiyo mkuu,
Tupeleka Azam au Stataimz?😎
 
Ndugu yangu,kakomaa anataka aoe Mchaga,ngoja tuone mwisho wake.Ndugu zangu wamemtahadharisha,ila hataki.
 
Kusaidia ukweni sio vibaya Lakini sio kila unapoombwa usaidizi Ni lazima usaidie,muda mwingine to nusu ya kile ulichoombwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…