Invisible JK
Member
- Nov 8, 2019
- 26
- 75
Muswada umepitishwa toka kwa Rais wa mafundi simu wakiongozwa na Fundi Michael.View attachment 2522936
Tunajua wengi huwa tunapata itilafu katika simu ikiwepo kuvunjika kwa screen kwenye android na iphone.
Nakimbilio letu ni mafundi Ili warekebishe lakini tunampa faragha fundi ya kupitia Kila kitu.
Ni kheri kabla ya kutengeneza usimpe NYWILA au password zako na utafanya jaribio wewe mwenyewe ya screen.
Maana siku hizi mafundi wengi ukiwapa Kila kitu Wana install spyware kwenye simu za watu na kuchunguza Kila kitu kwenye simu Yako pasipo wewe kujua.
😂😂😂😂 JichanganyeMuswada umepitishwa toka kwa Rais wa mafundi simu wakiongozwa na Fundi Michael.
Ndio binadam tulivyoSasa anifatilie kwanini?
Yan fundi nimemkuta town? Hatujuani? Af uchunguze cm yangu?Ndio binadam tulivyo
Inawezekana kabisa na akakutumia kwa manufaa yake binafsi.Yan fundi nimemkuta town? Hatujuani? Af uchunguze cm yangu?
Mhh
Utaibiwa Maan Kila kitu chako hata ukiongea na mtu ukiwa karib na simu hiyo iliwekwa spy Kila kitu anakionaSasa anifatilie kwanini?
Kama una mpunga bank umeend huo na simbank za sasa hvYan fundi nimemkuta town? Hatujuani? Af uchunguze cm yangu?
Mhh
Kama una mpunga bank umeend huo na simbank za sasaYan fundi nimemkuta town? Hatujuani? Af uchunguze cm yangu?
Mhh
Simu unakuwa umemuachia atengenezeWakati anaweka hizo spy Ware me Niko wapi?
Anadokoaje? Simbanking si iko na password?Kama una mpunga bank umeend huo na simbank za sasa
Kama una tupicha twa uchiYan fundi nimemkuta town? Hatujuani? Af uchunguze cm yangu?
Mhh
Simu ikishawekwa spy Yan hata iwe vipi Yan yeye simu Yako anaona vyote unavyofanya.Anadokoaje? Simbanking si iko na password?