Usitume mchanganuo wa malipo yako ya LUKU hapa jamvini kama hutaki kujulikana kirahisi

Usitume mchanganuo wa malipo yako ya LUKU hapa jamvini kama hutaki kujulikana kirahisi

From Sir With Love

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2010
Posts
2,076
Reaction score
3,813
Baada ya kuanza kulipia kodi ya majengo kwenye mfumo wa LUKU, watu wengi hapa jamvini wamekuwa wakipost screenshot au mtiririko wa sms waliyolipia LUKU ikionyesha makato.

Kitu walichosahau wakati wanatuma hizo screenshot au mtiririko wa malipo, ni kwamba wameanika LUKU meter number zao kwa kila mtu aone ambapo mtu baki akitaka kujua majina yako na nyumba unayoishi ni rahisi kupitia meter number.

Kama hutaki majina yako yafahamike au nyumba unayoishi, basi ukiscreenshot au ukituma mtiririko wa ile sms ya malipo, basi edit meter number.
 
Baada ya kuanza kulipia kodi ya majengo kwenye mfumo wa LUKU, watu wengi hapa jamvini wamekuwa wakipost screenshot au mtiririko wa sms waliyolipia LUKU ikionyesha makato.

Kitu walichosahau wakati wanatuma hizo screenshot au mtiririko wa malipo, ni kwamba wameanika LUKU meter number zao kwa kila mtu aone ambapo mtu baki akitaka kujua majina yako na nyumba unayoishi ni rahisi kupitia meter number.

Kama hutaki majina yako yafahamike au nyumba unayoishi, basi ukiscreenshot au ukituma mtiririko wa ile sms ya malipo, basi edit meter number.
Upo sahihi kabisa.. mkuu sema pia kama wameamua kulipisha mpaka wapangaji kumpata MTU sahihi itakuwa kazi Sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Baada ya kuanza kulipia kodi ya majengo kwenye mfumo wa LUKU, watu wengi hapa jamvini wamekuwa wakipost screenshot au mtiririko wa sms waliyolipia LUKU ikionyesha makato.

Kitu walichosahau wakati wanatuma hizo screenshot au mtiririko wa malipo, ni kwamba wameanika LUKU meter number zao kwa kila mtu aone ambapo mtu baki akitaka kujua majina yako na nyumba unayoishi ni rahisi kupitia meter number.

Kama hutaki majina yako yafahamike au nyumba unayoishi, basi ukiscreenshot au ukituma mtiririko wa ile sms ya malipo, basi edit meter number.
Kwani kuna ubaya gani mtu akijua unako ishi na majina yako? Mbona unataka tuishi ki uogauoga kiuharifu, hata kwenye haki.
 
tukiamua kukutafuta...tutakupata tu haijarishi...umeweka namba ya meter ama lah kikubwa tujitahidi kuheshimiana na kuheshimu sheria za nchi...kinyume na hapo utatafuta mbinu zote za kujificha hutoipata zaidi ya kuacha kabisa kutumia mitandao...ila usijidanganye kwa id fake wakikuhitajai wanakupata tu...labda ukubali kuishi maisha kama ya watu wa zamani...ila ukikimbizana na technologia wadakwa tu
 
Baada ya kuanza kulipia kodi ya majengo kwenye mfumo wa LUKU, watu wengi hapa jamvini wamekuwa wakipost screenshot au mtiririko wa sms waliyolipia LUKU ikionyesha makato.

Kitu walichosahau wakati wanatuma hizo screenshot au mtiririko wa malipo, ni kwamba wameanika LUKU meter number zao kwa kila mtu aone ambapo mtu baki akitaka kujua majina yako na nyumba unayoishi ni rahisi kupitia meter number.

Kama hutaki majina yako yafahamike au nyumba unayoishi, basi ukiscreenshot au ukituma mtiririko wa ile sms ya malipo, basi edit meter number.
Dah,enzi za kuogopa zishaisha,Samia sio dikteta Kama Magufuli, Samia Ni muungwana,
 
tukiamua kukutafuta...tutakupata tu haijarishi...umeweka namba ya meter ama lah kikubwa tujitahidi kuheshimiana na kuheshimu sheria za nchi...kinyume na hapo utatafuta mbinu zote za kujificha hutoipata zaidi ya kuacha kabisa kutumia mitandao...ila usijidanganye kwa id fake wakikuhitajai wanakupata tu...labda ukubali kuishi maisha kama ya watu wa zamani...ila ukikimbizana na technologia wadakwa tu
Mbona mpaka leo mmeshindwa kumpata Kigogo2014????
 
Ukihitajika unajulikana tu...ukishakuwa kwenye internet, upo exposed kama mtu anayeoga kwenye banda la vioo

Rejelea kesi ya JF vs Serikali
Ni kweli kabisa, lakini tukumbuke kesi kati ya JF vs Serikali ni kwamba mmoja ana access na details zako, ilhali mwingine hana na ili azipate hizo details lazima JF ampe.

Tizama pia issue ya Kigogo. Twitter wana details zote ila mpaka wakubali kuzitoa kwa wanaozihitaji.
 
Siyo kweli 100%. Kigogo 2014 mbona meshindwa kumkamata tena mpaka mkatangaza dau?
tukiamua kukutafuta...tutakupata tu haijarishi...umeweka namba ya meter ama lah kikubwa tujitahidi kuheshimiana na kuheshimu sheria za nchi...kinyume na hapo utatafuta mbinu zote za kujificha hutoipata zaidi ya kuacha kabisa kutumia mitandao...ila usijidanganye kwa id fake wakikuhitajai wanakupata tu...labda ukubali kuishi maisha kama ya watu wa zamani...ila ukikimbizana na technologia wadakwa tu
 
Back
Top Bottom