Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Mbona kigogo hawajampatatukiamua kukutafuta...tutakupata tu haijarishi...umeweka namba ya meter ama lah kikubwa tujitahidi kuheshimiana na kuheshimu sheria za nchi...kinyume na hapo utatafuta mbinu zote za kujificha hutoipata zaidi ya kuacha kabisa kutumia mitandao...ila usijidanganye kwa id fake wakikuhitajai wanakupata tu...labda ukubali kuishi maisha kama ya watu wa zamani...ila ukikimbizana na technologia wadakwa tu
Nonsenseunajuaje kama kigogo sio anae iongoza nchi kwa sasa...?
kweli bora wewe umenielewaNonsense
Waache na Vihelehele vyao! Nani kawatuma kutuletea screen shot zao humu ndani! Au ndio wanaomba msaada tuwalipie😂🤣😂😂😂😂!Baada ya kuanza kulipia kodi ya majengo kwenye mfumo wa LUKU, watu wengi hapa jamvini wamekuwa wakipost screenshot au mtiririko wa sms waliyolipia LUKU ikionyesha makato.
Kitu walichosahau wakati wanatuma hizo screenshot au mtiririko wa malipo, ni kwamba wameanika LUKU meter number zao kwa kila mtu aone ambapo mtu baki akitaka kujua majina yako na nyumba unayoishi ni rahisi kupitia meter number.
Kama hutaki majina yako yafahamike au nyumba unayoishi, basi ukiscreenshot au ukituma mtiririko wa ile sms ya malipo, basi edit meter number.
unajuaje kama kigogo sio anae iongoza nchi kwa sasa...? ebu jaribu kufanya wewe anayo yafanya kigogo tuone...
Makato ni mara moja kwa mwezi. Kwa sababu wanatumia mfumo wa komputer, basi ni rahisi kuset unachotaka na kwa muda gani.Hivi hayo makato huwa wanakata mara ngapi kwa mwezi??
mfano kuna watu huwa wanaongeza units hata mara tatu kwa mwezi
sasa wanakata kila unapoongeza au?
ndugu yangu kitanda huwa hakizai haramu...nchi yoyote dunia huwa inaongozwa kwa siri kali...kila mtawala aliepo madarakani huwa yupo teyari kuilinda hadhi yake kwa gharama yoyote ile...watu walinyongwa mfano Sadam hussein, watu walidhalilishwa kwa kuonewa mfano Gadafi...Huwa hamkosi sababu mnaposhindwa.
Hapo umebashiri tu na hauna uhakika. Ukiitwa mahakamani utatoa ushahidi?
Walimpiga risasi Lisu mbona hawajakamatwa?
Mbona kigogo hajajulikana paka leo.tukiamua kukutafuta...tutakupata tu haijarishi...umeweka namba ya meter ama lah kikubwa tujitahidi kuheshimiana na kuheshimu sheria za nchi...kinyume na hapo utatafuta mbinu zote za kujificha hutoipata zaidi ya kuacha kabisa kutumia mitandao...ila usijidanganye kwa id fake wakikuhitajai wanakupata tu...labda ukubali kuishi maisha kama ya watu wa zamani...ila ukikimbizana na technologia wadakwa tu