#COVID19 Usivae barakoa wakati wa kufanya mazoezi

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Watu hawapaswi kuvaa barakoa wakati wa kufanya mazoezi, kwa kuwa barakoa zinaweza kupunguza uwezo wa kupumua vizuri.

Jasho linaweza kufanya barakoa iweze kuwa na unyevu haraka zaidi ambapo itafanya kuwa ngumu kupumua na kusababisha kuwepo kwa vijidudu.

Kitu muhimu cha kufanya wakati wa mazoezi ni kukaa umbali wa angalau mita moja na wengine ili kujikinga na virusi vya Korona
 
Hii ni sawa na gari wakati inatembea uzibe bomba la kutolea moshi

Ova
 
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…