Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Wanatoa sana kafara ndio maana hawataenda mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀 Usione watu wanapesa mjini ukifatilia wengi hawana amani wanaishi bila furahaKwanza wote tutakufa tu, tumekuja bila kitu na tutaondoka bila kitu, maisha ndio haya haya
Bonge la geto lina mpaka tilesWanatoa sana kafara ndio maana hawataenda mbinguni View attachment 3269886
Kwanini wewe usitoe kafara utajirike? Utajiri ni zaidi ya makafaraWanatoa sana kafara ndio maana hawataenda mbinguni View attachment 3269886
Frimason ni nini?Usione vile kina baresa wote wale
Walianza chini mfano baresaa alikua anauza kahawa....
Alafu utajiri ni kujua code tu zimefichwa ndo mana matajiri wengi wana roho mbaya.
Matajiri wengi ni frimason hata diamond ni frimason na mwenzake alikua kanumba.
Usione watu kariakoo kule wana maduka tu lakini wana mambo yao mfano kuna duka nilikuta Lina ungua nikaona jamaa anatoa paka tu.....
😀😀😀😀😀😀😀😀 Ujinga ujinga tu na mimavi kibao kichwani...
Wale watu wanaamini iluminati alafu wananyoosha vidole kama mapembeFrimason ni nini?