Usiwe na haraka unapohitaji mpenzi wa kweli mtandaoni.

Mwenda pole ndio mla nyama lol

Nimebaki kama tubelight najaribu kuwaka waka bila mafanikio...umemaanishaje?lol

Haya endelea kupambana mpaka kielewe au siyo🙂) Hunsinyo katupa madesa kidogo!!
 
Nimebaki kama tubelight najaribu kuwaka waka bila mafanikio...umemaanishaje?lol

Haya endelea kupambana mpaka kielewe au siyo🙂) Hunsinyo katupa madesa kidogo!!
Sasa BJ ulifikiri kwa hili bandiko la Husninyo nitaacha kukupigia misele hebu kaangalie nimetembelea profile yako mara ngapi lol ndio ujue nini namaanisha lol halafu kumbe sijawahi kukutumia PM ngoja nianze mdogo mdogo
 

mimi hli some naona ntafeli manake sijaelewa hata kidogo......:A S-baby:
 
Sasa BJ ulifikiri kwa hili bandiko la Husninyo nitaacha kukupigia misele hebu kaangalie nimetembelea profile yako mara ngapi lol ndio ujue nini namaanisha lol halafu kumbe sijawahi kukutumia PM ngoja nianze mdogo mdogo

He he..subiri nikacheki profile yangu, halafu nataka nikufanyie research kwenye posti zako!..kwanza nikianza na jina lako, profile pics, # of posts, join date na makoro koro mengine..Stay tuned!..You've been alerted🙂)ha ha
 
Aaaaah? naona mada nyingine zinalenga watu fulani, au mshajua fulani anamuapproach fulani?au wewe muanzisha mada tayari kuna mshefa kajilengesha?nakushauri kama umeshaolewa mpe jibu sahihi mapemaaaaaaa!kwani kuna wanaume wengine wana maneno matamu,waweza ikana ndoa yako hivihiviiiiiiiiiiiiiiiiiiii! lakini kama bado hujaolewa si vibaya kuwa hata na wanaume kumi wanaokuaproach na usiwajibu vibaya nenda nao tartiiiiiibu,huku ukimpangua mmoja baada ya mwingine, mpaka ubaki na yule anaekufaaa mpo dada zangu?
 
Hahahahahahahahaha! i like this
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…