Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekufanyaje.? Bila shaka hawajakuumiza vibaya 😂Usiwe na ujasiri sana kufanya mazungumzo au kukutana na watu usiowafahamu mtandaoni. Kwa upande wako mwana-Jamiiforums unanini ya kusema kuhusu haya maelezo..?
Ndio uhalisia🤣😂😅wewe ndiyo umemalizia hivyo!🙌🙌🙌
Mtu hatujuani unataka tukutane ili iweje? unataka contact ya nn ewe shetani mguu Moja! Upuuzi upuuzi 🤣 wengine wa humu humu kbs na nomino kibao Moja anakuja nayo kisingo maza, Moja anakuja nayo kitanapa zaidi Moja ya mahubir dadeqmwana-Jamiiforums unanini ya kusema kuhusu haya maelezo..?
Ukienda beba silahaUsiwe na ujasiri sana kufanya mazungumzo au kukutana na watu usiowafahamu mtandaoni. Kwa upande wako mwana-Jamiiforums unanini ya kusema kuhusu haya maelezo..?