[emoji23][emoji23][emoji23]Ungemalizia kwa kusema tu na watu wa jf.
Au nasema urongo?
Basi mwororo mrembo wa kanisa
Kupenda kwako kutunukiwa mbususu ndiyo wabaya wako wanakunasa kiulaini,shauri yako.Hata kama nimetunukiwa mbususu mkuu?
Na kwanini ukutane nao?Usiwe na ujasiri sana kufanya mazungumzo au kukutana na watu usiowafahamu mtandaoni. Kwa upande wako mwana-Jamiiforums unanini ya kusema kuhusu haya maelezo..?
Ni papuchiπ³π ππ€£ Mbususu ni nini?? Kitu gani hichoπ€
Sawa kanisa lipo sio la kuchora
Sawa baba parokwo.Sawa kanisa lipo sio la kuchora
π bwana awe naaaaawe!Sawa baba parokwo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mlimani city angeoajuajee mwenzio?Kabisaaa yatatokea ya sate [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wengi huona AI kama mbadala mwepesi na rahisi kupunguza mzigo wa kazi, hivyo basi Wafanyakazi wengi kwenye taasisi hutumia hiyo mbinu ya kurahisisha kazi kwa kutumia AI hivyo wanajikutu wanaweka nyaraka muhimu za taasisi zao humo bila kufikiria madhara au nini kitakachojiri baada ya wao kufanya hivyo!Umewaza na kufikiria nini hadi kutuandikia haya maneno mazito hivi?