nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
Katika maisha watu huwa na wakati wana hamu ya kufuatilia habari fulani fulani za mtu ambazo ni za "gossip"
Na gossip huwa inavuta watu hasa kuifuatilia.
Ila kwa tathmini yangu nimebaini kuwa watu wanaopenda sana gossiping si watu wa kuwaamini hata kidogo, hawanaga urafiki wa kweli, huwa na tabia ya kukusanya siri na habari zako siku ukimzingua au mkazinguana basi anatumia habari zako kukuhumiliate.
Kwa ushauri wa bure kama una rafiki wa aina hiyo mfute kabisaaa kwenye orodha ya watu unaowaamini na hakikisha ana mipaka ya kukujua.
Tena kama una watu wa aina hii maishani mwako jitenge nao kabisa kuanzia kwenye maisha halisi hadi mitandaoni usiruhusu wakufollow mitandaoni ni watu wabaya sana.
Na gossip huwa inavuta watu hasa kuifuatilia.
Ila kwa tathmini yangu nimebaini kuwa watu wanaopenda sana gossiping si watu wa kuwaamini hata kidogo, hawanaga urafiki wa kweli, huwa na tabia ya kukusanya siri na habari zako siku ukimzingua au mkazinguana basi anatumia habari zako kukuhumiliate.
Kwa ushauri wa bure kama una rafiki wa aina hiyo mfute kabisaaa kwenye orodha ya watu unaowaamini na hakikisha ana mipaka ya kukujua.
Tena kama una watu wa aina hii maishani mwako jitenge nao kabisa kuanzia kwenye maisha halisi hadi mitandaoni usiruhusu wakufollow mitandaoni ni watu wabaya sana.