Usiwe unaweka maziwa maji! Mungu hapendi

mbere

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
6,967
Reaction score
6,465
Sasa wewe unakamua lita 2 unauza 5 Mungu hapendi.
 
Hahaha kumbe ndio Wewe ulikuja na thread ya dawa ya kuacha pombe bangi na sigara na wewe bado unatumia pombe. Umeshindwa kutumia dawa yako uache. Mara kumi ule mipepe tu au ule upepo
 
Hahaha kumbe ndio Wewe ulikuja na thread ya dawa ya kuacha pombe bangi na sigara na wewe bado unatumia pombe. Umeshindwa kutumia dawa yako uache. Mara kumi ule mipepe tu au ule upepo
Mkuu dawa ninayo, nakukaribisha mno
 
Siyo utani mkuu labda hujaelewa nawazungumzia nyie wenye ng'ombe, mnakamu, baada ya kukamua mnaongeza Maji , na kuuza, sisi tunanua tukijua maziwa kumbe mmeingeza Maji , Mungu anawaona
Wenye ng'ombe tuko mimi na Nani.. Nitajie mwingine mfugaji mwenzangu
 
Wenye ng'ombe tuko mimi na Nani.. Nitajie mwingine mfugaji mwenzangu
Ng'oja ndo wanauza maziwa Maji wenzio , wakishauza utaona wakimwagika povu hapa
 
Kwa Mujibu wa Uislam ni kosa kubwa sana kuchanganya Maziwa na Maji unaambiwa bora uongeze Bei kuliko ku dilute.

Kwny Elimu ya Balance diet maziwa hayatakiwi kuwekwa Chochote hata Sukari ili kupata ubora na virutubisho vyote
 
Kwa Mujibu wa Uislam ni kosa kubwa sana kuchanganya Maziwa na Maji unaambiwa bora uongeze Bei kuliko ku dilute.

Kwny Elimu ya Balance diet maziwa hayatakiwi kuwekwa Chochote hata Sukari ili kupata ubora na virutubisho vyote
Mkuu kuna watu wasio na huruma na watoto wetu , maziwa Maji ni matupu , unadhani unampa Mtoto maziwa kumbe maji
 
isee.. bora kufuga wa kwako tu ue unamkamua mwnyew.
 
au wengine wanampa maji ya kunywa mengi ng'ombe badala ya chakula mwisho wa siku akamua maziwa yenye maji mengi............. kuna mwanajeshi ananiuziaga maziwa nimempiga chini maziwa yake hata wakichomwa sindano wanyama wake anaendelea kuuza mbaya sana
 
Dah... Ukifuatilia kila unachokula... utaRIP kwa njaa.....au la zalisha mwenyewe chakula chako [emoji13] [emoji13]
 
Dah... Ukifuatilia kila unachokula... utaRIP kwa njaa.....au la zalisha mwenyewe chakula chako [emoji13] [emoji13]
kabisa ila mi nakunywa maziwa sana na nayapenda mnoo sasa mtu anakuuzia maji wakati mi nataka kutoa sumu mwilini inaboa sana
 
Hawa watu ni noma, haya maziwa sii ya kutegemea kabisa kila MTU na mbinu zake Maji, Mara maziwa ya Jana n.k
Ni janga DOGO anakula maziwa lakini afya mdororo
 
Dah... Ukifuatilia kila unachokula... utaRIP kwa njaa.....au la zalisha mwenyewe chakula chako [emoji13] [emoji13]
Mkuu ndo maana sina hamu na haya maziwa
 
Kuna wale mabingwa wa kuvurugia na maziwa ya unga humohumo na blueband yaani maziwa ya sasa utata mtupu ukichemsha maziwa yanaungua kwenye sufuria kabla hata hayajachemka au unaona mafuta yanaelea juu yaani sijui kwa nini tunamalizana kimya kimya namna hii jamani [emoji1495][emoji1495][emoji1495]
 
Hawa watu ni noma, haya maziwa sii ya kutegemea kabisa kila MTU na mbinu zake Maji, Mara maziwa ya Jana n.k
Ni janga DOGO anakula maziwa lakini afya mdororo
pole mkuu ... mi wangu anaata protini zote ila ya maziwa nampa huku nikijua kuna tatizo na namuwekea kwenye uji tu
 
Siyo maji tu wengine wanaweka hadi unga wa ngano ili yawe mazito. Ila wahusika waache tamaa wawe na utu
 
Maziwa yanapatikana fresh, hayajaongezwa hata tone la maji. Yanakamuliwa na watu wasafi.
Tupo Kiromo Bagamoyo. Lita 2 asubuhi na 2 jioni. Karibuni mpate lishe bora. PM PSE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…