Usiweke akiba, jifunze kuzalisha pesa

Usiweke akiba, jifunze kuzalisha pesa

Enkulu

Member
Joined
Sep 29, 2022
Posts
20
Reaction score
76
Kuna msemo maarufu sana unasema "Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuweka akiba" ila mimi nakwambia kuweka akiba hakukufanyi uwe tajiri. Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuzalisha pesa

Kuweka akiba si jambo baya, ni jambo jema sana sana tena sana lakini sio la busara. Akiba itakusaidia kutatua matatizo yanayokuja ghafla ila haitokupa utajiri.

ANGALI MFANO HUU

Juma na Ally ni wafanyabiashara wa Biashara X. Wote wanaingiza kipato sawa kwa mwezi (1,000,000). Juma akaona ni busara kuweka akiba 20% ya kipato chake na nyengine atumie kwenye matumizi yake. Hivyo akiba ya juma ikawa 1000,000 × 20% = 200,000.

Ally akasema hapana mimi siweki akiba busara zaidi ni kuzalisha pesa na kuongeza kipato (kuzalisha pesa zaidi). Kwahiyo bwana Ally akachukua 20% ya kipato chake na kuweka kwenye uwekezaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka ( tuseme labda Hatifungani)

BAADA YA MIAKA KUMI (10 Years)

JUMA : Alieweka akiba ya 200,000 kila mwezi
[emoji736]Kwa mwaka 200,000×12 = 2,400,000
[emoji736]Kwa miaka kumi 2.4M × 10 = 24,000,000
[emoji736]Baada ya miaka 10 Mr Juma alikuwa na akiba ya 24M, ni nyingi sana ee?
[emoji736]Ni kweli ni nyingi

Haya tumuangalie Mr Ally

Ally aliweka 20% ya kipato chake kwenye uzalishaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka
[emoji736]2,000,000 × 12% = 240,000 (hii ni faida ya uwekezaji alioufanya kwa mwaka)
[emoji736]Ina maana mwisho mwaka Ally atakuwa na 2,000,000 (jumla ya pesa yake aliyowekeza) + 240,000 (faida ya uwekezaji wake)
[emoji736]Kila mwisho wa mwaka Ally atakuwa na 2,240,000
[emoji736]Baada ya miaka kumi, Ally atakuwa na jumla ya 22,400,000
____________________________________________

ALLY vs JUMA
22,400,000/= 20,000,000/=
____________________________________________

KUMBUKA: Mr Ally na Mr Juma walikuwa wanafanya biashara moja, waliingiza kipato sawa kwa mwezi lakini baada ya miaka kumi walikuwa watu wawili tofauti. Mmoja alikuwa na 22M mwengine 20M

Kwanini mmoja akaja kuwa na kipato kikubwa kumshinda mwenzake ilihali walikuwa sawa miaka ya nyuma? Jibu ni Fupi na ni moja tu "MAAMUZI" Maamuzi aliyoyafanya Ally ndio yaliyomtofautisha na Juma.

JIULIZE: Maamuzi unayofanya leo juu ya pesa zako yataleta matokeo gani kesho? Je ungependa kuwa kama Juma au Ally?

Akiba ina hatari zake, unazijua? Uwekezaji pia una hatari zake, unazijua? Je unajua uwekezaji upi ni bora kwa wakati ulionao sasa? Ili kuyajua yote haya lazima kufanya tathmini ya kina kabisa

Kuna kitu kinaitwa "Compound Interest" unaijua? Ngoja nikudokeze;
Kama Mr Ally angewekeza mahali wanapotoa compound interest basi baada ya miaka kumi angekuwa na jumla ya 39,309,167/=

Unajua kwanini? Nitaandaa uzi mwengine kuelezea hii "compound interest" ni nini. Kwa kiswahili tunaweza kuita "riba jumuishi" japo sijui kama ndo kiswahili chake rasmi.

Anyway, Mimi nimefanya tathmini na kugundua Hatifungani ni moja ya uwekezaji utakaokupa zaidi ya matokeo ya Mr Ally.

UNAIJUA HATIFUNGANI?
 
Na hakuna msemo unaosema Ukitaka kuwa tajiri weka akiba, haupo
 
Kuna msemo maarufu sana unasema "Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuweka akiba" ila mimi nakwambia kuweka akiba hakukufanyi uwe tajiri. Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuzalisha pesa

Kuweka akiba si jambo baya, ni jambo jema sana sana tena sana lakini sio la busara. Akiba itakusaidia kutatua matatizo yanayokuja ghafla ila haitokupa utajiri.

ANGALI MFANO HUU

Juma na Ally ni wafanyabiashara wa Biashara X. Wote wanaingiza kipato sawa kwa mwezi (1,000,000). Juma akaona ni busara kuweka akiba 20% ya kipato chake na nyengine atumie kwenye matumizi yake. Hivyo akiba ya juma ikawa 1000,000 × 20% = 200,000.

Ally akasema hapana mimi siweki akiba busara zaidi ni kuzalisha pesa na kuongeza kipato (kuzalisha pesa zaidi). Kwahiyo bwana Ally akachukua 20% ya kipato chake na kuweka kwenye uwekezaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka ( tuseme labda Hatifungani)

BAADA YA MIAKA KUMI (10 Years)

JUMA : Alieweka akiba ya 200,000 kila mwezi
[emoji736]Kwa mwaka 200,000×12 = 2,400,000
[emoji736]Kwa miaka kumi 2.4M × 10 = 24,000,000
[emoji736]Baada ya miaka 10 Mr Juma alikuwa na akiba ya 24M, ni nyingi sana ee?
[emoji736]Ni kweli ni nyingi

Haya tumuangalie Mr Ally

Ally aliweka 20% ya kipato chake kwenye uzalishaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka
[emoji736]2,000,000 × 12% = 240,000 (hii ni faida ya uwekezaji alioufanya kwa mwaka)
[emoji736]Ina maana mwisho mwaka Ally atakuwa na 2,000,000 (jumla ya pesa yake aliyowekeza) + 240,000 (faida ya uwekezaji wake)
[emoji736]Kila mwisho wa mwaka Ally atakuwa na 2,240,000
[emoji736]Baada ya miaka kumi, Ally atakuwa na jumla ya 22,400,000
____________________________________________

ALLY vs JUMA
22,400,000/= 20,000,000/=
____________________________________________

KUMBUKA: Mr Ally na Mr Juma walikuwa wanafanya biashara moja, waliingiza kipato sawa kwa mwezi lakini baada ya miaka kumi walikuwa watu wawili tofauti. Mmoja alikuwa na 22M mwengine 20M

Kwanini mmoja akaja kuwa na kipato kikubwa kumshinda mwenzake ilihali walikuwa sawa miaka ya nyuma? Jibu ni Fupi na ni moja tu "MAAMUZI" Maamuzi aliyoyafanya Ally ndio yaliyomtofautisha na Juma.

JIULIZE: Maamuzi unayofanya leo juu ya pesa zako yataleta matokeo gani kesho? Je ungependa kuwa kama Juma au Ally?

Akiba ina hatari zake, unazijua? Uwekezaji pia una hatari zake, unazijua? Je unajua uwekezaji upi ni bora kwa wakati ulionao sasa? Ili kuyajua yote haya lazima kufanya tathmini ya kina kabisa

Kuna kitu kinaitwa "Compound Interest" unaijua? Ngoja nikudokeze;
Kama Mr Ally angewekeza mahali wanapotoa compound interest basi baada ya miaka kumi angekuwa na jumla ya 39,309,167/=

Unajua kwanini? Nitaandaa uzi mwengine kuelezea hii "compound interest" ni nini. Kwa kiswahili tunaweza kuita "riba jumuishi" japo sijui kama ndo kiswahili chake rasmi.

Anyway, Mimi nimefanya tathmini na kugundua Hatifungani ni moja ya uwekezaji utakaokupa zaidi ya matokeo ya Mr Ally.

UNAIJUA HATIFUNGANI?
Hapa kwenye mahesabu umekosea, alieweka akiba alipata 24M after 10 years with almost risk free, na aliefanya biashara alipata 22M after 10 years hapo hujaongelea risk za uwekezaji.

Anyway njia nzuri ni kuweka akiba na kuendeleza uwekezaji. Yaani fanya vyote
 
Kuna msemo maarufu sana unasema "Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuweka akiba" ila mimi nakwambia kuweka akiba hakukufanyi uwe tajiri. Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuzalisha pesa

Kuweka akiba si jambo baya, ni jambo jema sana sana tena sana lakini sio la busara. Akiba itakusaidia kutatua matatizo yanayokuja ghafla ila haitokupa utajiri.

ANGALI MFANO HUU

Juma na Ally ni wafanyabiashara wa Biashara X. Wote wanaingiza kipato sawa kwa mwezi (1,000,000). Juma akaona ni busara kuweka akiba 20% ya kipato chake na nyengine atumie kwenye matumizi yake. Hivyo akiba ya juma ikawa 1000,000 × 20% = 200,000.

Ally akasema hapana mimi siweki akiba busara zaidi ni kuzalisha pesa na kuongeza kipato (kuzalisha pesa zaidi). Kwahiyo bwana Ally akachukua 20% ya kipato chake na kuweka kwenye uwekezaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka ( tuseme labda Hatifungani)

BAADA YA MIAKA KUMI (10 Years)

JUMA : Alieweka akiba ya 200,000 kila mwezi
[emoji736]Kwa mwaka 200,000×12 = 2,400,000
[emoji736]Kwa miaka kumi 2.4M × 10 = 24,000,000
[emoji736]Baada ya miaka 10 Mr Juma alikuwa na akiba ya 24M, ni nyingi sana ee?
[emoji736]Ni kweli ni nyingi

Haya tumuangalie Mr Ally

Ally aliweka 20% ya kipato chake kwenye uzalishaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka
[emoji736]2,000,000 × 12% = 240,000 (hii ni faida ya uwekezaji alioufanya kwa mwaka)
[emoji736]Ina maana mwisho mwaka Ally atakuwa na 2,000,000 (jumla ya pesa yake aliyowekeza) + 240,000 (faida ya uwekezaji wake)
[emoji736]Kila mwisho wa mwaka Ally atakuwa na 2,240,000
[emoji736]Baada ya miaka kumi, Ally atakuwa na jumla ya 22,400,000
____________________________________________

ALLY vs JUMA
22,400,000/= 20,000,000/=
____________________________________________

KUMBUKA: Mr Ally na Mr Juma walikuwa wanafanya biashara moja, waliingiza kipato sawa kwa mwezi lakini baada ya miaka kumi walikuwa watu wawili tofauti. Mmoja alikuwa na 22M mwengine 20M

Kwanini mmoja akaja kuwa na kipato kikubwa kumshinda mwenzake ilihali walikuwa sawa miaka ya nyuma? Jibu ni Fupi na ni moja tu "MAAMUZI" Maamuzi aliyoyafanya Ally ndio yaliyomtofautisha na Juma.

JIULIZE: Maamuzi unayofanya leo juu ya pesa zako yataleta matokeo gani kesho? Je ungependa kuwa kama Juma au Ally?

Akiba ina hatari zake, unazijua? Uwekezaji pia una hatari zake, unazijua? Je unajua uwekezaji upi ni bora kwa wakati ulionao sasa? Ili kuyajua yote haya lazima kufanya tathmini ya kina kabisa

Kuna kitu kinaitwa "Compound Interest" unaijua? Ngoja nikudokeze;
Kama Mr Ally angewekeza mahali wanapotoa compound interest basi baada ya miaka kumi angekuwa na jumla ya 39,309,167/=

Unajua kwanini? Nitaandaa uzi mwengine kuelezea hii "compound interest" ni nini. Kwa kiswahili tunaweza kuita "riba jumuishi" japo sijui kama ndo kiswahili chake rasmi.

Anyway, Mimi nimefanya tathmini na kugundua Hatifungani ni moja ya uwekezaji utakaokupa zaidi ya matokeo ya Mr Ally.

UNAIJUA HATIFUNGANI?
Hisabu umezikosea. Jaribu kuzipitia uweke hoja yako vizuri.
 
Kuna msemo maarufu sana unasema "Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuweka akiba" ila mimi nakwambia kuweka akiba hakukufanyi uwe tajiri. Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuzalisha pesa

Kuweka akiba si jambo baya, ni jambo jema sana sana tena sana lakini sio la busara. Akiba itakusaidia kutatua matatizo yanayokuja ghafla ila haitokupa utajiri.

ANGALI MFANO HUU

Juma na Ally ni wafanyabiashara wa Biashara X. Wote wanaingiza kipato sawa kwa mwezi (1,000,000). Juma akaona ni busara kuweka akiba 20% ya kipato chake na nyengine atumie kwenye matumizi yake. Hivyo akiba ya juma ikawa 1000,000 × 20% = 200,000.

Ally akasema hapana mimi siweki akiba busara zaidi ni kuzalisha pesa na kuongeza kipato (kuzalisha pesa zaidi). Kwahiyo bwana Ally akachukua 20% ya kipato chake na kuweka kwenye uwekezaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka ( tuseme labda Hatifungani)

BAADA YA MIAKA KUMI (10 Years)

JUMA : Alieweka akiba ya 200,000 kila mwezi
[emoji736]Kwa mwaka 200,000×12 = 2,400,000
[emoji736]Kwa miaka kumi 2.4M × 10 = 24,000,000
[emoji736]Baada ya miaka 10 Mr Juma alikuwa na akiba ya 24M, ni nyingi sana ee?
[emoji736]Ni kweli ni nyingi

Haya tumuangalie Mr Ally

Ally aliweka 20% ya kipato chake kwenye uzalishaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka
[emoji736]2,000,000 × 12% = 240,000 (hii ni faida ya uwekezaji alioufanya kwa mwaka)
[emoji736]Ina maana mwisho mwaka Ally atakuwa na 2,000,000 (jumla ya pesa yake aliyowekeza) + 240,000 (faida ya uwekezaji wake)
[emoji736]Kila mwisho wa mwaka Ally atakuwa na 2,240,000
[emoji736]Baada ya miaka kumi, Ally atakuwa na jumla ya 22,400,000
____________________________________________

ALLY vs JUMA
22,400,000/= 20,000,000/=
____________________________________________

KUMBUKA: Mr Ally na Mr Juma walikuwa wanafanya biashara moja, waliingiza kipato sawa kwa mwezi lakini baada ya miaka kumi walikuwa watu wawili tofauti. Mmoja alikuwa na 22M mwengine 20M

Kwanini mmoja akaja kuwa na kipato kikubwa kumshinda mwenzake ilihali walikuwa sawa miaka ya nyuma? Jibu ni Fupi na ni moja tu "MAAMUZI" Maamuzi aliyoyafanya Ally ndio yaliyomtofautisha na Juma.

JIULIZE: Maamuzi unayofanya leo juu ya pesa zako yataleta matokeo gani kesho? Je ungependa kuwa kama Juma au Ally?

Akiba ina hatari zake, unazijua? Uwekezaji pia una hatari zake, unazijua? Je unajua uwekezaji upi ni bora kwa wakati ulionao sasa? Ili kuyajua yote haya lazima kufanya tathmini ya kina kabisa

Kuna kitu kinaitwa "Compound Interest" unaijua? Ngoja nikudokeze;
Kama Mr Ally angewekeza mahali wanapotoa compound interest basi baada ya miaka kumi angekuwa na jumla ya 39,309,167/=

Unajua kwanini? Nitaandaa uzi mwengine kuelezea hii "compound interest" ni nini. Kwa kiswahili tunaweza kuita "riba jumuishi" japo sijui kama ndo kiswahili chake rasmi.

Anyway, Mimi nimefanya tathmini na kugundua Hatifungani ni moja ya uwekezaji utakaokupa zaidi ya matokeo ya Mr Ally.

UNAIJUA HATIFUNGANI?
1. Umekosea mahesabu
2. Mifano yako yote miwili haikufanyi kua tajiri. Yaani hiyo tofauti ya milioni 2 kati ya hao watu wewe ndio unaona ni utajiri? 😀
3. Ili uweze kutajirika kwa aina hiyo ya uwekezaji (hati fungani) inabidi kwanza UWE TAJIRI manake u-invest kibunda cha maana haswaa..
 
1. Umekosea mahesabu
2. Mifano yako yote miwili haikufanyi kua tajiri. Yaani hiyo tofauti ya milioni 2 kati ya hao watu wewe ndio unaona ni utajiri? [emoji3]
3. Ili uweze kutajirika kwa aina hiyo ya uwekezaji (hati fungani) inabidi kwanza UWE TAJIRI manake u-invest kibunda cha maana haswaa..
Hujaelewa mantiki yangu. Lengo si kukuonesha ya mifano si kukuonesha tofauti ya milioni mbili. Ila kukuonesha kuwa utapokapo zungusha pesa zako, aidha kwa uwekezaji au kwa kufanya biashara ndipo hapo utakapo kuwa tajiri.

NA SIO KUWEKA KUWEKA PESA IKAE TU KWA KIGEZO KUWA UNAWEKA AKIBA.

Unaweza kuwa mfanyabiashara ile faida unayopata ukaamua kufungua biashara nyengine ama la uongeze mtaji. Hio ndio ilikuwa mantiki yangu

Kwenye mahesabu ni kweli nimekosea, niliandaa uzi nikiwa safarini nadhani uchovu wa safari ulichangia
 
1. Umekosea mahesabu
2. Mifano yako yote miwili haikufanyi kua tajiri. Yaani hiyo tofauti ya milioni 2 kati ya hao watu wewe ndio unaona ni utajiri? [emoji3]
3. Ili uweze kutajirika kwa aina hiyo ya uwekezaji (hati fungani) inabidi kwanza UWE TAJIRI manake u-invest kibunda cha maana haswaa..
Negativity si nzuri. Toa hayo yako tuone

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Kupanga ni kuchagua [emoji276]sijawahi kuona mzee tajiri akihisiwa ni mchawi!,sasa wewe jichanganye uwe mzee halafu huna kitu zaidi ya macho mekundu
 
1. Umekosea mahesabu
2. Mifano yako yote miwili haikufanyi kua tajiri. Yaani hiyo tofauti ya milioni 2 kati ya hao watu wewe ndio unaona ni utajiri? 😀
3. Ili uweze kutajirika kwa aina hiyo ya uwekezaji (hati fungani) inabidi kwanza UWE TAJIRI manake u-invest kibunda cha maana haswaa..
Kilimo cha matikiti maji kwenye makaratasi hiki
 
Kuna msemo maarufu sana unasema "Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuweka akiba" ila mimi nakwambia kuweka akiba hakukufanyi uwe tajiri. Ukitaka kuwa tajiri jifunze kuzalisha pesa

Kuweka akiba si jambo baya, ni jambo jema sana sana tena sana lakini sio la busara. Akiba itakusaidia kutatua matatizo yanayokuja ghafla ila haitokupa utajiri.

ANGALI MFANO HUU

Juma na Ally ni wafanyabiashara wa Biashara X. Wote wanaingiza kipato sawa kwa mwezi (1,000,000). Juma akaona ni busara kuweka akiba 20% ya kipato chake na nyengine atumie kwenye matumizi yake. Hivyo akiba ya juma ikawa 1000,000 × 20% = 200,000.

Ally akasema hapana mimi siweki akiba busara zaidi ni kuzalisha pesa na kuongeza kipato (kuzalisha pesa zaidi). Kwahiyo bwana Ally akachukua 20% ya kipato chake na kuweka kwenye uwekezaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka ( tuseme labda Hatifungani)

BAADA YA MIAKA KUMI (10 Years)

JUMA : Alieweka akiba ya 200,000 kila mwezi
[emoji736]Kwa mwaka 200,000×12 = 2,400,000
[emoji736]Kwa miaka kumi 2.4M × 10 = 24,000,000
[emoji736]Baada ya miaka 10 Mr Juma alikuwa na akiba ya 24M, ni nyingi sana ee?
[emoji736]Ni kweli ni nyingi

Haya tumuangalie Mr Ally

Ally aliweka 20% ya kipato chake kwenye uzalishaji utakaompa faida ya 12% kwa mwaka
[emoji736]2,000,000 × 12% = 240,000 (hii ni faida ya uwekezaji alioufanya kwa mwaka)
[emoji736]Ina maana mwisho mwaka Ally atakuwa na 2,000,000 (jumla ya pesa yake aliyowekeza) + 240,000 (faida ya uwekezaji wake)
[emoji736]Kila mwisho wa mwaka Ally atakuwa na 2,240,000
[emoji736]Baada ya miaka kumi, Ally atakuwa na jumla ya 22,400,000
____________________________________________

ALLY vs JUMA
22,400,000/= 20,000,000/=
____________________________________________

KUMBUKA: Mr Ally na Mr Juma walikuwa wanafanya biashara moja, waliingiza kipato sawa kwa mwezi lakini baada ya miaka kumi walikuwa watu wawili tofauti. Mmoja alikuwa na 22M mwengine 20M

Kwanini mmoja akaja kuwa na kipato kikubwa kumshinda mwenzake ilihali walikuwa sawa miaka ya nyuma? Jibu ni Fupi na ni moja tu "MAAMUZI" Maamuzi aliyoyafanya Ally ndio yaliyomtofautisha na Juma.

JIULIZE: Maamuzi unayofanya leo juu ya pesa zako yataleta matokeo gani kesho? Je ungependa kuwa kama Juma au Ally?

Akiba ina hatari zake, unazijua? Uwekezaji pia una hatari zake, unazijua? Je unajua uwekezaji upi ni bora kwa wakati ulionao sasa? Ili kuyajua yote haya lazima kufanya tathmini ya kina kabisa

Kuna kitu kinaitwa "Compound Interest" unaijua? Ngoja nikudokeze;
Kama Mr Ally angewekeza mahali wanapotoa compound interest basi baada ya miaka kumi angekuwa na jumla ya 39,309,167/=

Unajua kwanini? Nitaandaa uzi mwengine kuelezea hii "compound interest" ni nini. Kwa kiswahili tunaweza kuita "riba jumuishi" japo sijui kama ndo kiswahili chake rasmi.

Anyway, Mimi nimefanya tathmini na kugundua Hatifungani ni moja ya uwekezaji utakaokupa zaidi ya matokeo ya Mr Ally.

UNAIJUA HATIFUNGANI?
Mkuu biashara ya ally ikifilisika inakuwa aje juma ataendelea kuwa na pesa yake ile ile
 
Hio pesa ya ku-invest unaipataje bila kuiweka

Huwezi kuwekeza pesa kabka ya kuiweka kwanza hio pesa....Saving then ndio unafanyia investment.
 
1. Umekosea mahesabu
2. Mifano yako yote miwili haikufanyi kua tajiri. Yaani hiyo tofauti ya milioni 2 kati ya hao watu wewe ndio unaona ni utajiri? 😀
3. Ili uweze kutajirika kwa aina hiyo ya uwekezaji (hati fungani) inabidi kwanza UWE TAJIRI manake u-invest kibunda cha maana haswaa..
Ulicho sema nikweli lakini kaweka mfano tambua utajili ni process so ww chagua njia yako yakupita
 
Back
Top Bottom