Usiweke kwenye mitandao mipango yako ya kusafiri

Usiweke kwenye mitandao mipango yako ya kusafiri

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
0001-17315448546_20210223_095915_0000.png


Fikiria mara mbili kabla ya kuanika mtandaoni juu safari ya likizo inayokuja au kutuma picha wakati wa safari ya wikendi. Huwezi kujua ni nani anayeweza kuona habari hii na kuitumia kuvunja nyumba yako

Ikiwa mtu anajua unapoishi na ana nia mbaya, akijua kuwa utakuwa mbali na kwako kwa wiki mbili ni mwaliko wazi wa kuiba nyumbani kwako.

Kama njia mbadala na salama, usitume maelezo yoyote au picha kuhusu safari yako hadi utakaporudi.
 
Upvote 0
View attachment 1709675

Fikiria mara mbili kabla ya kuanika mtandaoni juu safari ya likizo inayokuja au kutuma picha wakati wa safari ya wikendi. Huwezi kujua ni nani anayeweza kuona habari hii na kuitumia kuvunja nyumba yako

Ikiwa mtu anajua unapoishi na ana nia mbaya, akijua kuwa utakuwa mbali na kwako kwa wiki mbili ni mwaliko wazi wa kuiba nyumbani kwako.

Kama njia mbadala na salama, usitume maelezo yoyote au picha kuhusu safari yako hadi utakaporudi.
Huu ushauri kwa "nshomile" haukubaliki, maana ni fursa ya kupata kiki😂
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom