Usiweke mtandaoni taarifa za kadi yako ya benki na akiba iliyopo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Taarifa zinazoonesha akiba yako ya pesa si vyema kuziweka mtandaoni ingawa unaweza kuwa na lengo kutaka watu wanaokuzunguka wafahamu kuwa kipato chako kimeongezeka.

Bado siyo wazo nzuri. Kila punje ya taarifa inaweza kusaidia wadukuzi kuiba utambulisho wako na kupata akaunti zako.

Usiwape msaada wa kufanya hivyo. Weka taarifa za fedha zako nje ya mtandao.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…