Usiyoyajua Kuhusu Batuli

Napenda anavyoigiza ila tatizo ni Uwoya 'wanna-be'.....she used to look natural and very humble.....

Uwoya enzi izo bhana, mtoto alikuwa mtamu balaa, siku izi kawa kama housegirl
 
Hehehe nyie mmemtandikia mwenzenu jamvi kumbe yuko humu humu hahaha warumi na team yako ni noumerrrrrrr...raha ya umbea msemwaji asiwepo ila huu ni wa grade 1 ...atakuja na account nyingine kujibu mapigo mda si mrefu subirini tu

Tatizo la mbea huwa anaongea ukweli bila ruhusa.
 
Last edited by a moderator:
Uwoya enzi izo bhana, mtoto alikuwa mtamu balaa, siku izi kawa kama housegirl

Badoooo...kile kifaa miaka elfu nane....akiwa housegal...Wenye nyumba wataacha nyumba zao......
 
Badoooo...kile kifaa miaka elfu nane....akiwa housegal...Wenye nyumba wataacha nyumba zao......

Haya binamu kifaa chako hcho nimekultea, sema anajua kuvaa kama Kim kardashian.
 

Attachments

  • 1395784233837.jpg
    38.8 KB · Views: 701
Haya binamu kifaa chako hcho nimekultea, sema anajua kuvaa kama Kim kardashian.

Na nguo hazimtupi..Mashaalah.....ninachompendea huyu dada ni kuwa hafichi makucha yake.....sisemi napendezwa na tabia zake...La hasha!ila napenda mtu ambaye hatumii nguvu nyingi 'kujitengeneza'....I like Wema lakini she's too dramatic and fake....Huyu ni 'black&White'
 
Uwoya anajua kuvaa?heri ungesema Wolper
 
Kwa kuwa mzazi wake wa kiume siyo raia, namshauri aukane uhabesh au asijihusishe na siasa hadi kifo
 
Napenda anavyoigiza ila tatizo ni Uwoya 'wanna-be'.....she used to look natural and very humble.....

Huyo co natural kajikoboa zaman alikua mweuc mwangalien kwenye igizo la ITV Mweusi asijishaue hapa
 
Ila hajamfikiaa fulaniii

Binamu Leo nimekulaje kichambo, kuna mjinga mmoja kaja kuchafua hali ya hewa kwenye himaya yangu, nimempa anachostahili naona hajarud kama sio ban, halaf nahis atakuwa msanii yule maana povu limemtoka hatari, inabid safar hii nikakate health insurance.
 
Ha ha ujumbe umefika
 
Huyo co natural kajikoboa zaman alikua mweuc mwangalien kwenye igizo la ITV Mweusi asijishaue hapa

Yaah nakumbuka kwenye fake smile alikuwa tofauti sana na sasa....Anyways,ni maisha yake....ila amekuwa mwekundu sana...hizi cream wawe wanapaka kwa vipimo jamaniii......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…