Usiyoyajua kuhusu Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete

 
Sasa km we umeyajua wadhani hayo yalikuwa hayajulikani....Au ndio umesha unlock akili yako kwa konyagi
 
Mungu anakuona
 
Asante kwa kumbukumbu mujarab mkuu.
 
Alitoroka jeshini Monduli baada ya umbea na uchonganishi wake kubainika.
Alipigiwa fitina na watu walio kuwa hawampendi!! hasa huyohuyo Sayore! huyohuyo sayore alijua nyota yake kikwete mapema! kuwa atakuwa mtu mkubwa kwa hiyo aliongozwa na roho ya kumzimisha huyu jk!!

Nyota ikiwaka watu wa gizani wanaiona sana!! lazima wajaribu kuizima kwa namna yeyote ile!! km kweli alimchomea asingekubaliwa kuingia ktk serikali kirahisi wakt huku nyuma ana ajira yake rasmi!

Hata hivo Sayore alikuwa na mkono mrefu ange mkamata tu!! sababu kijana alikuwa chini ya jeshi!!! km Kuruta tu unatoroka kwenda kwenu lkn unakamatwa sembuse afisa wa jeshi? hii number moja ina asili ya majungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…