EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
usitutafite ban ya milele asee chali ebu rudia tena hiyl kauli yakoHahahaaa
Lately nimegundua kwamba hata nyumbu wana akili kuliko makamanda!
Mbona kuna uzi fulani ulisemaga una miaka 40+ hujapata bwana wakati akina ...... wamejiokotea dodo! ni uzi unaohusu mmiliki wa radio maarufu hapa mjini.
π€£π€£π€£I wish ningeweza kufuta PM nilokutum..π
Maajab ya dunia.... ety warumi dume la mbegu!!
Maajab ya dunia.... ety warumi dume la mbegu!!
Hata mimi siku zote hizi nilidhani wewe ni dame!! Isiwe taabu lakini.Dah, Mkuu nisamehe sana! Miaka yote najua(ga) wewe sio ME! Doh salaaaleh.... Nisamehe sana!
Magufuli bado ana team? Anaiongoza kutokea wapi?Kinachonifurahisha nini wewe kuwa Team Magufuli [emoji123][emoji123].
Unanidai kinywaji chochote kile ukipendacho.
imeisha hiyoooo.I wish ningeweza kufuta PM nilokutum..[emoji85]
Mimi ni Dem Mkuu! Hujakosea! Niambie unataka nini?Hata mimi siku zote hizi nilidhani wewe ni dame!! Isiwe taabu lakini.
π π πI wish ningeweza kufuta PM nilokutum..π
Binamu salama lakini?Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?