B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Daah, byee WarumiAhahah kweli kabisa, ahsante sana binamu
Naam hatunae tena Binamu yetuNi kwamba nielewe hivi nilivyoelewa? Yesu wangu [emoji2296]
Mkuu usilete utani kwenye suala la kifoNi kweli umeungana na Hamza
Hii comment aliijibu ki upole sana.....Ahahah kweli kabisa, ahsante sana binamu
RipJinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
Nitakulilia sana binamu.. Pumzika kwa amaniJinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
Huenda na maradhi ndio yalishika kasi, Apumzike kwa amani!.Bila shaka Huu ndo uzi wake wa Mwisho huku na Kama alijua vile akaamua kujiweka karibu na Wan Jamii Ili wamfahamu japo kdgo na akajitahidi kujiweka ktk hali ya kujichanganya na Kila mtu bila kuonyesha Dharau.
Mungu ampe mapumziko salama Ndugu yetu
π π πI wish ningeweza kufuta PM nilokutum..π