Yes sure, daah duniani sisi sote ni wapitaji tu!Kwa Kiingereza inaitwa, "to make amends". Kurekebisha mambo yako ya huko nyuma ambayo unahisi hayakuwa sahihi. Nadhani alikwishaanza kuumwa na akahisi kifo. Ugonjwa wa figo uliomuondoa uchukuwa muda mrefu kabla ya kifo. Nadhani madaktari walimwambia kuwa siku zake ni chache.
Mtakatifu sasaMimi huwa unanifurahisha kwa hoja zako fupi lakini Kali na zenye mashiko kwa nyumbu waliopo humu.,
Katika watu nawakubali humu,nahisi wewe ni wa kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikitika sana leo ndio nimepata taarifa za ndugu yetu huyu mbea first class.Ahhahahah daah binamu nimekumbuka enzi zile umeenda kulala kwenye msiba wa marehemu Adam Kuambiana, enzi za Lucy Komba na gauni lake la harusi utafikiri anapokea komunio. Kubwa kuliko enzi zako na Dina kuchambana na Matola; unachamba hadi unachanganyikiwa unajiquote mwenyewe unajichamba tena daah. Kuna siku ulipewa ban, tukaandamana kwa mods na #BRINGBACKWARUMI#, tulikukoma ulivyorudishwa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]. Heshima yako binamu
Mwanaume unawezaje kuchamba hivo??Nimesikitika sana leo ndio nimepata taarifa za ndugu yetu huyu mbea first class.
Mungu ampumzishe kwa amani.
Nimesikitika sana leo ndio nimepata taarifa za ndugu yetu huyu mbea first class.
Mungu ampumzishe kwa amani.
Mwanaume unawezaje kuchamba hivo??Nimesikitika sana leo ndio nimepata taarifa za ndugu yetu huyu mbea first class.
Mungu ampumzishe kwa amani.
Uliwahi kuniona wapi? Una uelewa wowote na ulichokiandika?Mwanaume unawezaje kuchamba hivo??
Aibu nimeona Mimi...🙈Hahahahaha lol!
Aibu nimeona Mimi...🙈
Kwani Juma lokole anawezaje?Mwanaume unawezaje kuchamba hivo??
[emoji23][emoji23][emoji23]Ma fans wangu wengi ni wanawake, na umbea hili unoge lazima uwe na makash kash kidogo[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah.Ahahah si ungejaribu bahati yako mkuu, you never know[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahJe wewe ni mchele coca?
Same here....😪Miss you
Daaaaah... [emoji24][emoji24][emoji24]Mic u binamu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Mzungu wa roho, nimekumbuka trip ya Dar - bagamoyoo.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]