Matola alikua anatuenyesha, warumi na mdomo wangu wote pale nilifyata, Jamaa sijui lina downlidig wap matusi[emoji23][emoji23][emoji23], Lina maneno ya kukera aiseh sijawah kuona hapa JF[emoji23][emoji23], ila na sisi tulimvaa kidogo
Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?