USM Alger hawana mpira wa kutisha zaidi

USM Alger hawana mpira wa kutisha zaidi

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Nimecheki baadhi ya video za USM Alger

Nimeona hawana mpira wa kutisha zaidi marumo ni Hatari kuliko wao. Labda kitakacho tuponza yanga ni ufupi wa mabeki zetu tu kwa hiyo tukiweza kuwadhibiti kwenye mipira ya juu tutakuwa tumewaweza Ivo

Maana wanatumia mipira ya juu zaidi hata Goli Zao nyingi kwenye mashindano haya wanatumia urefu wa washambuluaji wao tu kwa kupiga mipira ya juu. Wana press kwa nguvu dah job Na kibwana Mungu awe pamoja Na ninyi

Ila yanga wana mpira wao fulani ambao sijui unaitwaje nafikiri hata wao wenyewe hawajui wanachezaje maana sio kibeyern kile twende twende
 
Nimecheki baadhi ya video za USM Alger
Nimeona hawana mpira wa kutisha zaidi marumo ni Hatari kuliko wao
Labda kitakacho tuponza yanga ni ufupi wa mabeki zetu tu kwa hiyo tukiweza kuwadhibiti kwenye mipira ya juu tutakuwa tumewaweza Ivo
Maana wanatumia mipira ya juu zaidi hata Goli Zao nyingi kwenye mashindano haya wanatumia urefu wa washambuluaji wao tu kwa kupiga mipira ya juu
Wana press kwa nguvu dah job Na kibwana Mungu awe pamoja Na ninyi

Ila yanga wana mpira wao fulani ambao sijui unaitwaje nafikiri hata wao wenyewe hawajui wanachezaje maana sio kibeyern kile twende twende
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yanga ilipofikia kwa sasa haiwezi kuigopa timu yoyote ile.

Muhimu tu kwa wachezaji watakaopata nafasi ya kucheza mwenye michezo yote miwili; ni kucheza tu kwa nidhamu kubwa, na pia kutumia vizuri nafasi watakazo zipata.
 
Kiko wapi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom