Poleni na majukumu,
Naombeni ni wasilishe tatzo langu,uso wangu umekua kama una mabaka mabaka kama mmba hivi hasa hasa sehemu za mashavu kuzunguka mpk kwenye kidevu .Hii hali inanichukiza sana wadau ,nilishawahi kwend hosp kubwa tu wakaniambia vipodozi ninavyotumia ndio vimesababisha nikaacha kupaka kitu usoni, lakin sas hvi yamerudi tena.
Naomben ushauri wadau nifanyeje au nipake dawa gani y usoni itakayoondoa hii hali.
Asante