Ndio Hivyo Mkuu!Unataka kusema kwamba zile salakasi zilizovuma wakati ule ulikuwa ni uongo [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Dunia haitakaa iishe maajabu
Zile Zilikuwa Drama Zake Na Kile Chama Cha Kijani.Duuh!
huyu si ndiye aliyepewa msafara wa kutisha kwenda kuwa mgeni rasmi then akapledge kutoa mabillion? alimwambia mkurugenzi asimtafute Baada ya week tatu kupita atakuwa yupo nje kikazi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wataleta majibuUmeona Enhee Mkuu!
Tusubiri Waliobahatika Kumuona Hivi Karibuni Kama Mimi.
Hatupo Tayari.Aiseeeee yajayo yanafurahisha
anhaa kumbee.Anaishi Tabata.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ila Mr. Wako Sijamuona Kwenye Huu Uzi.
Alikuwa Ana Mu Overrate Sana. [emoji23][emoji23]