Uso Kwa Uso Na Dkt. Shika

Unataka kusema kwamba zile salakasi zilizovuma wakati ule ulikuwa ni uongo [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Dunia haitakaa iishe maajabu
 
wacha umbeya kadandie gari lako la g/mboto uwahi kwenu pugu.
ningekuona jana cm 2000 ningekutandika vibao kuz nilikuwa around.
Sawa Dkt Shika.
Ila Usisubiri Giza Liingie Ndio Uanze Kukanyagana Na Sisi Makapuku.

Wasalimie Tabata.
 
Kumbe kila ubebapo bahasha ya kaki inamaanisha unatafuta kibarua??
Sikuwahi kujua[emoji23]
Ha Ha Ha! Barua Ya Kuomba Kazi Unanijua Kwa Macho Tu Mkuu. Haituni Kama Wallet Yenye Hela.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unataka kusema kwamba zile salakasi zilizovuma wakati ule ulikuwa ni uongo [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Dunia haitakaa iishe maajabu
Ndio Hivyo Mkuu!
Binafsi Nilishangaa Sana Kumuona Vile.
Nilijua Ana Bang Huko Los Angeles Kwa Kina Da Mange, Kumbe Tunakanyagana Wote Kwenye Dala Dala Za Mawasiliano .[emoji23][emoji23]
 
Duuh!
huyu si ndiye aliyepewa msafara wa kutisha kwenda kuwa mgeni rasmi then akapledge kutoa mabillion? alimwambia mkurugenzi asimtafute Baada ya week tatu kupita atakuwa yupo nje kikazi? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuh!
huyu si ndiye aliyepewa msafara wa kutisha kwenda kuwa mgeni rasmi then akapledge kutoa mabillion? alimwambia mkurugenzi asimtafute Baada ya week tatu kupita atakuwa yupo nje kikazi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Zile Zilikuwa Drama Zake Na Kile Chama Cha Kijani.
Sasa Wamemchinjia Baharini Mzee Wa Watu Anazunguka Na Jiji Kutwa Mpaka Soli Za Viatu Zinaingia Ndani.
In Short Wakimaliza Kukutumia Ni Kama Pedi Wanakutupa Kwa Dust Bin ...[emoji41][emoji41]
 
Alituvuruga sana huyu.... Aende zake
 
Kwani mabilioni aliyosema anafuatilia Urusi amefikia wapi?
 
Mtoa mada unatakiwa kwenda kushare hizi habari kwa yule DC wa kahama aliempokea kwenye ule ugeni wa chuo cha sayansi maana waliahidiwa pia msaada wa mamilioni kadhaa ya pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…