Uso Kwa Uso Na Dkt. Shika

ndiyo kusema wale wanafunzi wa chuo cha afya aliosema atawasomesha hatowezekana tena?????????
 
Mtoa mada unatakiwa kwenda kushare hizi habari kwa yule DC wa kahama aliempokea kwenye ule ugeni wa chuo cha sayansi maana waliahidiwa pia msaada wa mamilioni kadhaa ya pesa
Ha Ha Ha.
Amewakacha Kimtindo Na Yule Mkurugenzi Aligundua Jamaa Ni Mtapeli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zile Zilikuwa Drama Zake Na Kile Chama Cha Kijani.
Sasa Wamemchinjia Baharini Mzee Wa Watu Anazunguka Na Jiji Kutwa Mpaka Soli Za Viatu Zinaingia Ndani.
In Short Wakimaliza Kukutumia Ni Kama Pedi Wanakutupa Kwa Dust Bin ...[emoji41][emoji41]
ha ha ha!
uzuri ni hana familia.
angekuwa na watoto plus mke ni hatari.
Ki bachelor bachelor sio Mbaya
 
Nilikutana nae Dr. Shika maeneo ya Mnazi Mmoja, yuko race hatari. Zile billions zitakuwa bado hajavuta
 
Nilikutana nae Dr. Shika maeneo ya Mnazi Mmoja, yuko race hatari. Zile billions zitakuwa bado hajavuta
Ha Ha Ha!
Tunabanana Nae Humu Humu Bongo Ile Safari Ya Kwenda Kwa Trump Imekufa Ziiii.
 
ha ha ha!
uzuri ni hana familia.
angekuwa na watoto plus mke ni hatari.
Ki bachelor bachelor sio Mbaya
Alidai Familia Yake Ipo Russia.
Huenda Anatuma Za Matumizi Kwa Western Union. [emoji23][emoji23]
 
kwani mshana Jr si aitwe ili atueleze yanayoendelea kujiri kuhusu Dr shika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…