Uso kwa uso na msichana kwa mara ya kwanza ni fanye nini?

Jamani niambie nifanye nini ili huyu binti ninayeenda kukutana nae jmosi asinione boya maana sijawai kuwa na msichana tangu nibalee!
Mkuu ucjal, that day piga "sura ya mbuzi", ucjichekeshe chekeshe hovyo, story zako ziwe za moja kwa moja, acha braha brahaa!
 
Njoo KIBAHA-MAILIMOJA nikufunde cha kufanya na msichana kwa siku ya kwanza. Nina hakika utapata Couse ya nguvu !
 
jiandae kwa tizi zito (sana sana zoez la push up na kichura chura).,kiuno kiwe tayari kwa kipigo mwendo mmoja! Uciwe unasua sua!mara kimeongezeka spid mara kimepungua! Kamua adi zibak kengele nje 2!
 
Kunafunguo zina holder kama ya BMW nunua hiyo uwe unatikisa tikisa kwenye maongezi nasikia hao watu wanapenda sana wakijua unatembea huku umekaa
Teh teeh teeeh wacha muchezooooooooooo!!!
 
kam K. sijabaree bana, msinitie majaribuniiiiiiiiiiiiiiiii uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!
 
ukifika mwambie nataka tukutanishe vikojoleo vyetu......mambo mengine yatajipa yenyeye automatikali.


Haha haaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…