Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100!

Yaani kuitwaitwa kote na madau kupanda huku nae akikubali hiyo mialiko ni walakini tosha!
 
Pasco

Utakuwa unamjua aliyemuua kwa hiyo
 
Last edited by a moderator:
R.I.P. kwa jitihada za kuboresha demokrasia yetu kupitia kesi mbalimbali. (though he has been currently running well in a wrong track).

Kifo cha Mtikila Mbona kinafanana na kile cha Mh. Chacha Wangwe? Usije ikawa wataalam walewale wamehusika!
 
Huyu bwana ( marehem) tulikutana naye sehemu alipogundua sisi ni wa imani Fulani kutokana na mavazi yetu pale pale alibadili mazungumzo na kuanza kuikashfu dini yangu kwa maneno ya kuudhi nilipotaka kumjibu wenzangu walinizuia kumbe alikuwa na mwandishi wa habari hivyo alitaka ajibiwe ili atoke gazetini nilimchukia sana tena sana. Baada ya kusikia taarifa ya kifo chake nimemsamehe kabisa huenda huko ataelewa ipi ilikuwa dini ya haki kati ya ile aliyoikashfu au hiyo yake
 
Update:
RIP Mchungaji Christopher Mtikila!.

Nisamehe kwa yote!.

Pasco
 
Katika thread yako, Mtikila alikuwa anazungumzia vifo vya kutengenezwa kwa ajali, yeye pia amewindwa na hadi sasa anayemuwinda hajaonesha kuwa walifikia muafaka!
Amekufa kwenye ajali!
Inastaajabisha lakini ndivyo majaribu yalivyo, inawezekana kabisa ni accident 100% lkn it worth kuchunguzwa ili kumake sure that no stone left unturned!
Kwenye vifo vya aina yake ni muhimu kuacha kila mtu ameridhika na aina ya kifo kilichomkuta!
 
Nimelipia kwa makini hili bandiko la tuhuma za mauaji kwa ku fake accidents!, wajameni "karma' is real!, mdomo huumba!. nawaombeni sana wanasiasa na wana jf tuchunge sana kauli zetu!.

Mfano fuatilia hii thread hapa jf
[h=3]Jamaa apata ajali.
[/h]Soma watu walisema nini,
Kuna watu hapa bodini wana midomo kama manabii.
Nakumbuka haijapita wiki tangu ile thread ya kuhusu kuendesha pikipiki ijadiliwe hapahapa. Na wengi tulipendekeza ile thread ifungwe kwani ilikuwa haina maslahi kwa jamii.
There was mention of someone meeting a biker in one of the threads ..... and some comments were made - similar to what has happened.
Kuna watu wali observe kuwa anaendesha reckless, haujapita muda ajali.

Hivyo "midomo kama manabii".Wameweza kuonya kabla na hatimaye wamekuwa vindicated.

Bikes can get addictive.
Nakumbuka haijapita wiki tangu ile thread ya kuhusu kuendesha pikipiki AINGESOMa asingefika huko kwenye ajali huu ndio umuhimu wa JF FUNDISHA

mungu amponye apo alipo

Pole Bro Pascal, get well soon

Hivyo wandugu, kauli huumba. Tuwe Makini sana na kauli zetu!. Nilipozungumza na Mtikila kwenye uzi huu, alimzungumzia muuaji fulani anayepanga mauaji kwa ajali, na alimtaja!, kama ni kweli, hiyo 'karma' ya kifo cha Mtikila pia itamkuta!, karma haikwepeki!, lakini kama Mtikila, alimzushia tuu, jambo kubwa kama hili!, then ni kauli ya Mtikila Ndio iliyokiumba kifo chake!.

Tuchunge sana kauli zetu.

Pasco





ikimzungumzia huyu jamaa!, na baada tuu ya wiki, angalia kilichompata!, jamaa huyo huo mkono ni hadi leo!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…