Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100!


Mkuu Pasco mbona kama hauko straight .. kama ulizungumza nae kuhusu muuaji anayepanga mauaji kwa ajali na unaona wazi kifo chake kina utata unashindwa kuunganisha dots?
 

Mkuu bado unaamini he was insane?
Mi nadhani ukirejea alichokwambia kuhusu Chadema na CUF kutokuwa wapinzani wa kweli imedhihirika kuwa ni kweli!
 
Hivi mtikila amekufa akia alipa zile milioni 3 za Rostam?
 

Georgina you're good for nothing as was your husband Mtikila

Kumbe kichaa cha marehemu kilikuwa kinaambukiza!!

Akamfufue mme wake basi! Am sorry to say this ila huyu mama inabidi apimwe akili zake kwanza kama Yuko sawa
Mbona mama wenyewe anaonekanika kama kichaa!!!ccm wanafufua hadi wafu trip hii!!

Masikini huyu Mama, kumbe ni kweli ukiolewa na mtu, mkaishi kwa muda mrefu, then mke na mume hatimaye mnakuwa mmefanana!. Kwa wale ambao hamkuusoma uzi huu, Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100! - JamiiForums
upitieni tena, mlinganishe kile Mtikila alichonieleza, na hiki mkewe anachoeleza!, they are both insane!.

Baada ya kunieleza jinsi alivyokataa hongo ya milioni 100!, kuna kitu aliniomba, kwa heshima sikukitaja, na wala sikitaji, bali tuendelee tuu kumuombea Mungu ampumshishe kwa amani kwa sababu hata insane, ana haki!.

RIP Mchungaji Mtikila.

Pasco
 
Wandugu kwa tamaduni zetu Waafrika,mtu akishatangulia mbele ya haki si vema kuanza kumjadili na kumkandia mapungufu aliyokuwa nayo badala yake tumuombee ili Mungu Mwenyezi amsamehe dhambi zake;hivyo binafsi sijafurahishwa na majadiliano haya hebu tubadilike.
 
Mkuu Pasco naona ni ngumu kumeza hii kitu kwanza kabisa utaNegotiate vifo uhai wako na mtu ambae anataka kukuua tena unaenda hadi nyumban kwake.
Nikikua nataka kusema kitu ila kwa heshima za wafu namstiri tu.
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndipo ulipokosea . He was not insane ila kisaikolojia ni wale watu ambao kujaza upepo na kutafuta uchokonozi ili apasuke vzr

Ni kama aina Fulani ya wanafunzi ambao huwa na details za kuhusu makosa flan afu wanakosa wa kuwa uliza una jipya Gani? Na hivyo kupeleka wao kutafuta mtu wamsimulie tuu ili kuchokonoa
 
Mkuu Pasco naona ni ngumu kumeza hii kitu kwanza kabisa utaNegotiate vifo uhai wako na mtu ambae anataka kukuua tena unaenda hadi nyumban kwake.
Nikikua nataka kusema kitu ila kwa heshima za wafu namstiri tu.
Hakua anaenda kichwa kichwa nadhan kuna vitu alikua anafanya kama vile kuomba ulinz wa polis na ndio maana unaona kuna sehem amekiri kwamba aliwah kutoa taarifa polis

Haya huyo aliyekuwa anamuita ninaamin kbs hakuwa na gut za kumaliza juu kwa juu manake alikuwa anajua yupo kwenye list yake ya serial killers na hajui taarifa zake zimefika wapi.

Nafikir kama alikua anaanda jins ya kumuua lazima angetumia mbinu clean kabisa kukwepa mikono yake kushukiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kma kuna watu ambao taifa hili haliwezi kuja kuwaelewa kwa miaka hii ya karibuni ni Mtikila. wengi mtasema ni kichaa lakini Mtikila alikuwa na akili nyingi sana mpaka kupitiliza.na kumuelewa ilibidi kwanza uwe na ukaribu wa akili zake bila hivyo uta conclude kirahisi kuwa ni insane. lakini kuna mambo aliwah kuyasema na yakawa.
 
Duuuh! gari inapinduka mara ya kwanza bado unarudi tena na gari ulikotoka,kwanini marehemu asingetumia hata public transport?
 
Sio ule waraka wa PaKa amepenyeza wanyarwanda i.e watutsi hapa tz 35,000 maana PaKa alimwitaga yeye ni dog. Naanza kuwaza labda ni wale wale waliomfetua risasi prof Jwani Mwaikusa maana huyu professa naskia baada ya kumtetea mnyarwanda mmoja mpaka akaachiwa huru PaKa aliapa kumtoa duniani. I hope na kifo chake kina baraka ya ile nchi ndogo maana hawa jamaani ni kwere

Nakumbuka nilifundishwa ukitaka kuwatambua hawa watutsi wana pua za kizungu na sura nyembamba na wengi wao wako kama wa-ethiopia ni hatari sana
 
Wanabodi,

Update:
5 years later, 4 October 2015
Kauli Huumba!, RIP Mchungaji Christopher Mtikila!.

Nisamehe kwa yote!.

Paskali
Unanikumbusha kifo cha mch Mtikila. Mazingira ya kifo chake kilichotokana na ajali yalinifikirisha sana, tena ajali ilitokea katika kipindi ambacho Mtikila alikuwa moto sana.
Ila ndo hivyo watu walizika na maisha yakaendelea.
Mkuu Mr Dudumizi , hapa kwenye kifo cha Mchungaji Mtikikila, umenikumbusha kitu!. Kiukweli haya mambo ya ajali za ajabu ajabu hii njia ya Dar Chalinze, na maeneo ya Tanga kwenye 'fundi' wengi, kumbe pia it's possible ajali zote sio ajali tuu, ajali nyingine ni 'ajali'. Kuna siku nilikutana na Mchungaji Mtikila mahali, akazungumzia mtu anayeuwa watu kwa ku fake accident Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100! five years later Mchungaji Mtikila alikuja kufa kwa ajali ambayo ilikuwa ni kama a fake accident!.

Hivyo kuna ajali zinatokea zinakuwa ni ajali tuu na kuna ajali sio ajali tuu, ni 'ajali'
RIP Balozi Mushi!.
P
 
Asante mkuu Pascal Mayalla kwa hakika ukiangalia mazingira ya baadhi ya vifo vya viongozi wetu mbali mbali vinavyotokana na ajali mbali mbali, utaona kwamba kuna kitu kinakuwa nyuma ya hizo ajali.

Na kwa vile victim wa ajali hiyo anakuwa ni mtu asiekuwa na mamlaka makubwa ndani ya nchi basi vifo hivyo au ajali hizo huachwa hivyo hivyo bila kufanyiwa uchunguzi wowote wa kina na mamlaka husika.

RIP marehem balozi.
 
Mushi,eti balozi akose hata chawa wa kusafiri nae,kipindi hiki ambacho machawa ni wengi... R.I.P,inatikirisha,hasa ukizingatia na tuhuma za Austria,duuh!
 
Sio tuu hatufanyi uchunguzi bali unaweza kukuta na ajali hizo ni eneo hilo hilo, kijiji hicho hicho, and at the same same spot!
Eneo la kijiji cha Panda Mbili, ndipo alipopatia ajali Chacha Wangwe, alikuwa anajiendesha mwenyewe, akampa lift abiria Deus Malya, akajitambulisha ni dereva ana leseni ya Class C!, akajitolea kumuendesha!. Ikatokea ajali, gari ikapinduka, Wangwe no more yeye without scratch!. Alipoulizwa na polisi ajali imetokeaje akashindwa kunyoosha maelezo!. The same place, same spot Salome Mbatia akapata ajali hapo hapo and she was no more!. Na mimi nikaja kupata ajali hapa hapo na ile boda boda yangu!. Zikitafutwa data za zimetokea ajali ngapi zilizopoteza maisha ya watu, you might be surprised!. Halafu usikute kijijini hapo kuna bonge la "fundi'', sometimes inahitajika kucha tuu ya kidole kidogo cha mguu wa kushoto!, linapinduliwa basi zima!.

P
 
Alikufa Kwa aina ya kifo kilekile alichokutajia swali he ilikuwa faked accident? Na vipi kuhusu taarifa alizotoa polisi kuwa anatishiwa maisha.
 
Nimependa zaidi hayo maneno 👇

Halafu usikute kijijini hapo kuna bonge la "fundi", sometimes inahitajika kucha tuu ya kidole kidogo cha mguu wa kushoto!, linapinduliwa basi zima!,

😂🤣🤣 Nimejikuta nacheka kwa sauti bila kutegemea, kama vile yanayotokea ni mazuri. Mungu atunusuru kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…