Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100!

Duh 🙄 !!!
 
Sikuwa najua Mengi Kuhusu Mtikila kabla ya hii thread kusema kweli zaidi ya kusikia Mengi kuhusu Kesi zake vs Govt ambazo zilireflect yeye kuwa warrior against the gvt

Kumbe behind the curtain alikuwa na kaliba kama hiyo (insanity?)... Anyway may be kila moja angepata nafasi ya kuzungumza nae ana kwa ana angeweza kudefine subjectively.

Mwisho naomba nikubaliane kwamba kweli mdomo huumba kabisa kabisa

R. I. P Mtikila huko aliko.
 
Wewe Salome Mbatia alipatia ajali Pandambili??? Mbona mnapenda kuandika uwongo? Na Mtikila?
 
Na baada ya maelezo yote haya ya kukataa hongo ya milioni 100!, Mchungaji Mtikila alimalizia kwa jambo moja la ajabu ...(naomba nilsilitaje, ili kumlindia hadhi yake) ili jambo hilo ndio uthibitisho kuwa he is not normal!.
mkuu nikuombe uliseme jambo hili maana ni muda sasa umepita hivyo madhara hayatakuepo wa Taifa. nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…