Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
habari Ndgu zangu.
USO wangu umefubaa baada ya kutoka uzazi na hauvutii. chunusi na mabaka kwa wingi. yani nimeparara haswa.
nitumie nn niwe smooth. mie ni mweusi. thanks in advnc
Hebu mwelekeze huku Mamsera nimsaidie pale mumewe aliposhindwa.....
Uko wapi bibie Ni pm nikupe dawa
Hebu mwelekeze huku Mamsera nimsaidie pale mumewe aliposhindwa.....
Thanx miss Chaga ngoja nianze hiyo water therapy dia
Hebu mwelekeze huku Mamsera nimsaidie pale mumewe aliposhindwa.....
Hebu mwelekeze huku Mamsera nimsaidie pale mumewe aliposhindwa.....
Anamsifia mumewe eti anamtunza, kwani mtori wa dagaa unalainisha mzazi? hehehe hajui huyu mambo ya mamsera. Unakula kiburluu, na mkia wa kondoo ukitoka hapo kama mzungu vile!:llama::llama:
Komeka iyo dawa itaje tu isaidie wengi mpaka akupm jaman..!? Usitunyime uondo