1. tumia vitunguu saumu..chukua vitunguu saumu vimenye kisha vitwangetwange alafu chuja maji yake then osha uso wako kwa maji ya uvuguvugu kisha paka mchujo huo ktk sehemu zilizo athirika kaa kwa muda wa dk 15 then osha kwa maji ya uvuguvugu fanya kwa cku mara moja
2.chukua asali mbichi ya nyuki wadogo kijhko kimoja changanya na mdalasini vikijiko viwili kisha osha uso wako vizuri kwa maji ya uvuguvugu then paka mchanganyiko huo kaa kwa dk 15 then osha kwa maji ya uvuguvugu,tiba hii ni bora ikatumika usiku kabla ya kulala
3.chukua asali mbichi ya nyuki wadogo kijiko kimoja changanya na ndimu tatu then osha uso wako kwa maji ya uvuguvugu kisha paka mchanganxiko huo kaa kwa muda wa dk 15 then osha uso kwa maji ya uvuguvugu
4.nenda ktk maduka ya madawa nunua cream inaitwa perlsol fornte cream inasaidia sana ktk matatizo ngozi km chunusi na makovu..