ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,035
- 920
Kama title inavyojieleza,marafiki mwenzenu nina shida kubwa ya mafuta mengi usoni,kila mafuta ninayotumia yanagonga mwamba kiasi kwamba nimeamua kutotumia mafuta yoyote yale ili kuepukana na tatizo la pimples.
Umri wangu ni mkubwa tu(30yrs) but bado nikipaka mafuta kama nivea for men,rapid white 21 jours,vaseline men body lotion,HOBBY na mengineyo mengi tu lakini yoote hayo yote nimepiga mbizi kwenye kokoto.Wengi watanishauri kwenda SH HARMONY lakini kama kuna njia mbadala naombeni msaada wakuu,thanks in advance!
Umri wangu ni mkubwa tu(30yrs) but bado nikipaka mafuta kama nivea for men,rapid white 21 jours,vaseline men body lotion,HOBBY na mengineyo mengi tu lakini yoote hayo yote nimepiga mbizi kwenye kokoto.Wengi watanishauri kwenda SH HARMONY lakini kama kuna njia mbadala naombeni msaada wakuu,thanks in advance!