BrainPower
Senior Member
- May 19, 2009
- 146
- 1
Habari za Jumapili .
Naomba kuuliza.
Je Kuna mtu ameshawahi kutuma kitu kwenda Dar kwa kutumia USPS - United States Postal Services na Kikafika ? Je kama ulifika uliuchukulia mzigo wapi (Agents)?
Nina madhumuni ya kutuma HardDisk Yangu . Sitaki iyeyuke hewani bureeee
Asante,
B.P
Bongo tambarare..pole mdauMimi nilijaribu 18 months ago na mpaka leo havijafika even though ile tracking # ya USPS inaonyesha mizigo ilifika bongo post Office within 5 days. Mizigo ilikuwa external hard drives,dvd na vingine.