USSD PROBLEM, kwenye sumsung Z ford 2

Lee

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
43,973
Reaction score
150,463
Wakuu msaada tutani ,nina changamoto ya kuingia menu kwa simu ya Samsung Galaxy Z ford 2 nimanisha mfano kuingia kwenye tigo pesa au mpesa kwa menu yake , kuunga vifurushi n.k tatizo limeanza ghafla ...
 
Wakuu msaada tutani ,nina changamoto ya kuingia menu kwa simu ya sumsung Z ford 2 nimanisha mfano kuingia kwenye tigo pesa au mpesa kwa menu yake , kuunga vifurushi n.k tatizo limeanza ghafla ...View attachment 2024092
Nilikutana na mama mmoja Fold yake nayo ina tatizo Hili, sio version ya Korea Hii?

Temporary solution ni kama wadau walivyotoa suggestion juu Tumia Apps zinaunga pia Vifurushi, kama unatumia Tigo Hamia Kabisa postpaid.
 
Reactions: Lee
Nilikutana na mama mmoja Fold yake nayo ina tatizo Hili, sio version ya Korea Hii?

Temporary solution ni kama wadau walivyotoa suggestion juu Tumia Apps zinaunga pia Vifurushi, kama unatumia Tigo Hamia Kabisa postpaid.
Asantee mkuu
 
Nilikutana na mama mmoja Fold yake nayo ina tatizo Hili, sio version ya Korea Hii?

Temporary solution ni kama wadau walivyotoa suggestion juu Tumia Apps zinaunga pia Vifurushi, kama unatumia Tigo Hamia Kabisa postpaid.
Kuna Siri Gani Chief kwenye Korean version kugomea hizo USSD menu
 
Reactions: Lee
Kuna Siri Gani Chief kwenye Korean version kugomea hizo USSD menu
Sababu hawatumii huko kwao, Hata za Usa mitandao ya CDMA kama Verizon ama Zamani Sprint ikiwa haijatolewa Lock vizuri haikubali ussd.

Hata hapa kwetu Zamani sasatel, TTCL na Zantel CDMA zilikuwa hazina ussd, ukitaka kuangalia salio unapiga tu 102 unaambiwa salio kwa sauti, ukitaka kuweka salio unapiga 104 sauti inakwambia weka Vocha etc.
 
Ooh kumbe.Asante kwa ufafanuzi Chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…